Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mualgeria Brahimi ampiku Yaya Tuzo ya BBC Afrika 2014

Nyota wa Algeria, Yacine Brahimi (pichani kulia) amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa BBC Afrika 2014.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA

Yacine Brahimi akiwa na tuzo yake ya BBC. MSHINDI wa tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa mwaka 2014 Afrika imekwenda kwa mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi. Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda tuzo hiyo, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe nyingi. Brahimi amewabwaga wachezaji wengine nyota wakiwemo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Brahimi nyota wa BBC Afrika 2014

Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika BBC mwaka huu amepatikana. Baada ya maelfu ya kura kuhesabiwa, mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi ndiye mshindi wa mwaka huu.

 

10 years ago

StarTV

Brahimi ndiye mwanasoka wa BBC Afrika 2014

Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika BBC mwaka huu amepatikana. Baada ya maelfu ya kura kuhesabiwa, mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi ndiye mshindi wa mwaka huu.

Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe wa 2014.

Aliingiza bao la ushindi dhidi ya mabingwa wa Hispania Barcelona, bao lengine la kisasa katika ligi ya mabingwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika mwaka wa 2014 imetangazwa

 

9 years ago

Michuzi

MO AMPIKU DANGOTE TUZO YA MFANYABISHARA BORA AFRIKA

Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.Picha na African Business. Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Bongo5

Yaya Toure ashinda tuzo ya BBC na kuweka rekodi mpya

Toure

Kiungo wa klabu ya Manchester City ya England na timu ya taifa Ivory Coast Yaya Toure ameshinda tuzo ya mchezaji bora Afrika inayotolewa na Shirika la Utangazaji nchini England (BBC) kwa mwaka 2015.

Toure

Toure anakuwa mchezaji watatu ambae amewahi kuchukua tuzo hiyo mara mbili akiungana na Nwanko Kanu pamoja na Jay-Jay Okocha (wote wa Nigeria) ambao waliwahi kutwaa tuzo hiyo mara mbili.

Nyota huo wa Ivory Coast amesema anajivunia kuwa mshindi wa tuzo hiyo ambayo mshindi hupatikana kwa kupigiwa...

 

10 years ago

GPL

YAYA TOURE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA MARA 4 MFULULIZO

Yaya Toure. KIUNGO wa Manchester City, Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo ya CAF ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa mara ya nne mfululizo. Toure, 31, alitajwa kuwania tuzo hiyo baada ya kutoa mchango mkubwa kwa Manchester City kushinda Ligi Kuu ya England na kunyakua Kombe la Ligi. Pia aliisaidia Ivory Coast kufuzu kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika 2015.
Toure alipambana na mshambuliaji kutoka Gabon...

 

9 years ago

Bongo5

Yaya Toure atajwa tena kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Yaya Toure, ametajwa tena miongoni mwa wachezaji watatu bora kuwania taji la mwana soka bora mwaka huu na shirikisho la soka barani Afrika (CAF).

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Tuzo hii huwajumuisha wachezaji wa Afrika wanaocheza soka ng’ambo.

151114103628_andre_ayew_640x360_getty
Andre ‘Dede’ Ayew kutoka Ghana

Nyota huyo wa Manchester City kwa mara nyengine atakuwa akipigania taji hilo dhidi ya mshambulizi wa Black Stars ya Ghana na Swansea Andre ‘Dede’ Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon na Borussia Dortmund.

24CC6CFA00000578-0-image-a-19_1421529621191
Pierre Emerick Aubameyang kutoka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika

Siku chache kabla ya kutajwa majina ya wachezaji watakaowania tuzo la BBC la Mchezaji bora Afrika katika kandanda BBC inawataja wachezaji wanaoibuka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani