Mualgeria Brahimi ampiku Yaya Tuzo ya BBC Afrika 2014
Nyota wa Algeria, Yacine Brahimi (pichani kulia) amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa BBC Afrika 2014.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Brahimi nyota wa BBC Afrika 2014
10 years ago
StarTV01 Dec
Brahimi ndiye mwanasoka wa BBC Afrika 2014
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika BBC mwaka huu amepatikana. Baada ya maelfu ya kura kuhesabiwa, mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi ndiye mshindi wa mwaka huu.
Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe wa 2014.
Aliingiza bao la ushindi dhidi ya mabingwa wa Hispania Barcelona, bao lengine la kisasa katika ligi ya mabingwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014
9 years ago
MichuziMO AMPIKU DANGOTE TUZO YA MFANYABISHARA BORA AFRIKA
9 years ago
Bongo512 Dec
Yaya Toure ashinda tuzo ya BBC na kuweka rekodi mpya
Kiungo wa klabu ya Manchester City ya England na timu ya taifa Ivory Coast Yaya Toure ameshinda tuzo ya mchezaji bora Afrika inayotolewa na Shirika la Utangazaji nchini England (BBC) kwa mwaka 2015.
Toure anakuwa mchezaji watatu ambae amewahi kuchukua tuzo hiyo mara mbili akiungana na Nwanko Kanu pamoja na Jay-Jay Okocha (wote wa Nigeria) ambao waliwahi kutwaa tuzo hiyo mara mbili.
Nyota huo wa Ivory Coast amesema anajivunia kuwa mshindi wa tuzo hiyo ambayo mshindi hupatikana kwa kupigiwa...
10 years ago
GPLYAYA TOURE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA MARA 4 MFULULIZO
9 years ago
Bongo515 Dec
Yaya Toure atajwa tena kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika
Yaya Toure, ametajwa tena miongoni mwa wachezaji watatu bora kuwania taji la mwana soka bora mwaka huu na shirikisho la soka barani Afrika (CAF).
Tuzo hii huwajumuisha wachezaji wa Afrika wanaocheza soka ng’ambo.
Andre ‘Dede’ Ayew kutoka Ghana
Nyota huyo wa Manchester City kwa mara nyengine atakuwa akipigania taji hilo dhidi ya mshambulizi wa Black Stars ya Ghana na Swansea Andre ‘Dede’ Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon na Borussia Dortmund.
Pierre Emerick Aubameyang kutoka...
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika