Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YAYA TOURE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA MARA 4 MFULULIZO

Yaya Toure. KIUNGO wa Manchester City, Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo ya CAF ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa mara ya nne mfululizo. Toure, 31, alitajwa kuwania tuzo hiyo baada ya kutoa mchango mkubwa kwa Manchester City kushinda Ligi Kuu ya England na kunyakua Kombe la Ligi. Pia aliisaidia Ivory Coast kufuzu kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika 2015.
Toure alipambana na mshambuliaji kutoka Gabon...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Yaya Toure atajwa tena kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Yaya Toure, ametajwa tena miongoni mwa wachezaji watatu bora kuwania taji la mwana soka bora mwaka huu na shirikisho la soka barani Afrika (CAF).

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Tuzo hii huwajumuisha wachezaji wa Afrika wanaocheza soka ng’ambo.

151114103628_andre_ayew_640x360_getty
Andre ‘Dede’ Ayew kutoka Ghana

Nyota huyo wa Manchester City kwa mara nyengine atakuwa akipigania taji hilo dhidi ya mshambulizi wa Black Stars ya Ghana na Swansea Andre ‘Dede’ Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon na Borussia Dortmund.

24CC6CFA00000578-0-image-a-19_1421529621191
Pierre Emerick Aubameyang kutoka...

 

10 years ago

Vijimambo

YAYA TOURE NDIYO MBABE WA SOKA AFRIKA KWA MARA YA NNE

Yaya Tourekiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na...

 

10 years ago

GPL

EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND

Eden Hazard akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka nchini England. KIUNGO wa Chelsea, Eden Hazard ndiye mchezaji bora wa mwaka nchini England. Hazard mwenye umri wa miaka 24, raia wa Ubelgiji, amefunga jumla ya mabao 18 katika mechi alizoichezea timu yake msimu huu kwenye michuano mbalimbali na kuisaidia Chelsea kutwaa Kombe la Capital One huku ikishika usukani katika msimamo wa Ligi Kuu ya England inayoelekea...

 

9 years ago

BBCSwahili

Yaya Toure angekuwa mchezaji karate

Kabla ya kuingia katika soka nyota wa Ivory Coast Yaya Toure, aliyeshinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika 2015, alikuwa ameanza kucheza karate na alikuwa ameanza kufanikiwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Orodha ya wachezaji 10 wanaowania Tuzo ya mchezaji bora Afrika (wanaocheza Afrika)

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo hiyo anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samata

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo hiyo anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samata.

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kutangaza majina ya wachezaji kumi watakaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika, hatimaye wametangaza majina ya wachezaji kumi (10) watakaowania tuzo ya mchezaji bora anayecheza Afrika.

Katika orodha hiyo kwa mara ya kwanza Tanzania tumefanikiwa kuingiza mchezaji mmoja, Mbwana Ally Samata anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya mchezaji bora Afrika.

Mbwana Samatta leo hii anatarajia kuwasili nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika

 

9 years ago

BBCSwahili

Toure ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika

Yaya Toure ametangazwa mshindi wa Tuzo ya BBC ya Mwanasoka Bora wa Afrika wa Mwaka 2015, katika mwaka ambao alianza kwa kuongoza Ivory Coast kutwaa ubingwa Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika

Siku chache kabla ya kutajwa majina ya wachezaji watakaowania tuzo la BBC la Mchezaji bora Afrika katika kandanda BBC inawataja wachezaji wanaoibuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014

Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika mwaka wa 2014 imetangazwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani