MO AMPIKU DANGOTE TUZO YA MFANYABISHARA BORA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xT6tElGWjo/VgTQtSgry2I/AAAAAAAH7C4/Wgo4lzENCRg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.Picha na African Business. Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
MO ampiku DANGOTE mfanyabishara bora Afrika
Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business).
Na Mwandishi wetu, New York
MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mualgeria Brahimi ampiku Yaya Tuzo ya BBC Afrika 2014
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Orodha ya wachezaji 10 wanaowania Tuzo ya mchezaji bora Afrika (wanaocheza Afrika)
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo hiyo anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samata.
Siku moja baada ya Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kutangaza majina ya wachezaji kumi watakaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika, hatimaye wametangaza majina ya wachezaji kumi (10) watakaowania tuzo ya mchezaji bora anayecheza Afrika.
Katika orodha hiyo kwa mara ya kwanza Tanzania tumefanikiwa kuingiza mchezaji mmoja, Mbwana Ally Samata anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe...
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Tuzo ya mchezaji bora Afrika.
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika
9 years ago
Habarileo11 Sep
JK akabidhiwa tuzo ya uongozi bora Afrika
SIKU mbili baada ya kutunukiwa Nishani ya Amani na Utulivu katika Ukanda wa Afrika Mashariki, Rais Jakaya Kikwete jana alikabidhiwa tuzo nyingine ya kimataifa, ya Utawala Bora barani Afrika kwa mwaka 2015.
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa Afrika 2014
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika
9 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.