MO ampiku DANGOTE mfanyabishara bora Afrika
Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business).
Na Mwandishi wetu, New York
MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1xT6tElGWjo/VgTQtSgry2I/AAAAAAAH7C4/Wgo4lzENCRg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
MO AMPIKU DANGOTE TUZO YA MFANYABISHARA BORA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xT6tElGWjo/VgTQtSgry2I/AAAAAAAH7C4/Wgo4lzENCRg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Mualgeria Brahimi ampiku Yaya Tuzo ya BBC Afrika 2014
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Orodha ya wachezaji 10 wanaowania Tuzo ya mchezaji bora Afrika (wanaocheza Afrika)
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo hiyo anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samata.
Siku moja baada ya Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kutangaza majina ya wachezaji kumi watakaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika, hatimaye wametangaza majina ya wachezaji kumi (10) watakaowania tuzo ya mchezaji bora anayecheza Afrika.
Katika orodha hiyo kwa mara ya kwanza Tanzania tumefanikiwa kuingiza mchezaji mmoja, Mbwana Ally Samata anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe...
9 years ago
Bongo520 Nov
2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam
![dangote-dewji-rostam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dangote-dewji-rostam-300x194.jpg)
Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.
Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Mutai ampiku Mo Farah New York
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Tuzo ya mchezaji bora Afrika.
10 years ago
Mtanzania06 May
Mwenda meya bora Afrika
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MEYA wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda amekabidhiwa tuzo ya kuwa meya bora barani Afrika.
Tuzo hiyo alikabidhiwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.
Meya Mwenda amefanikiwa kupata tuzo hiyo katika kundi la mamlaka za miji ya kati ambayo ina majiji yenye idadi ya watu isiyozidi milioni moja.
Akitaja sifa za tuzo hiyo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni,...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Neymar apiga nne, Ronaldo ampiku Raul