Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mutai ampiku Mo Farah New York

Geoffrey Mutai alishinda mbio za kilomita 21 za New York licha ya Muingereza Mo Farah Kupigiwa upatu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON

Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…

 

9 years ago

Dewji Blog

MO ampiku DANGOTE mfanyabishara bora Afrika

MO dewji

Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.(Picha na African Business).

Na Mwandishi wetu, New York

MTANZANIA Bilionea Mohamed Dewji amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African...

 

9 years ago

Michuzi

MO AMPIKU DANGOTE TUZO YA MFANYABISHARA BORA AFRIKA

Vinara wa biashara Afrika walipewa tuzo mbalimbali za African Business katika picha ya pamoja. Kuanzia kushoto ni Daphne Mashile Nkosi, Strive Masiyiwa, Helen Hai na Mohammed Dewji . hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hoteli ya Four Seasons Hotel mjini New York.Picha na African Business. Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mwananchi

Neymar apiga nne, Ronaldo ampiku Raul

Real Madrid na Barcelona zimeng’ang’ania kileleni mwa La Liga wakati Cristiano Ronaldo akiweka rekodi Real ikishinda 3-0 dhidi ya Levante, huku Neymar akifunga bao manne wakati Barca ikichapa Rayo Vallecano 5-2.

 

10 years ago

Mwananchi

Mualgeria Brahimi ampiku Yaya Tuzo ya BBC Afrika 2014

Nyota wa Algeria, Yacine Brahimi (pichani kulia) amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa BBC Afrika 2014.

 

9 years ago

Michuzi

Jopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani

Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...

 

9 years ago

Michuzi

African in New York Episode 25 Promo: Affordable Housing in New York: As A Tanzanian Immigrant, What do you need to know?


Ms. Afua Atta-Mensah is the Director of Litigation and Policy Safety Net Project at Urban Justice Center. She works to resolve affordable housing issues helping both Americans and immigrants to both know their rights and to be able to get justice if required.She has been working as an attorney for ten years specializing in housing issues here in New York. At the moment she is running for an unpaid position as a district representative of one of the districts of Harlem and she asks you to...

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram

Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani