Jopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani
Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Dewji Blog07 May
10 years ago
Michuzi10 years ago
GPLMWILI WA MZEE LUANGISA ULIVYOAGWA JIJINI NEW YORK, MAREKANI
9 years ago
MichuziJK KATIKA MKUTANO WA 70 WA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK, MAREKANI, LEO
9 years ago
Michuzi10 Dec
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) yaandaa maandamano jijini new york
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa Jijini New York, MAREKANI
Rais Kikwete akiwa na Rais Filipe Jacinto Nyusi wa Mzumbiji na mawaziri wao wa nchi za nje katika mkutano huo mjini New York.
Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Lars Loekke Rasmussen
Rais Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Finland Mama Tarja Halonen
Rais Kikwete na ujumbe wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee, Katibu...
10 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog10 Apr