Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON

Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mutai ampiku Mo Farah New York

Geoffrey Mutai alishinda mbio za kilomita 21 za New York licha ya Muingereza Mo Farah Kupigiwa upatu

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya watawala mbio za New York Marathon

Wakenya Stanley Biwott na Mary Keitany walishinda mbio za wanaume na wanawake katika mbio za New York Marathon zilizoandaliwa Jumapili.

 

11 years ago

BBC

Farah eighth in London Marathon

Kenyan athletes come first and second at the London marathon in both men's and women's races, with Mo Farah eight.

 

11 years ago

BBC

Farah set for stern marathon test

Mo Farah will face world record holder Wilson Kipsang at the 2014 London Marathon.

 

9 years ago

BBCSwahili

Farah afuzu fainali za mbio za 5000m

Mo Farah karibu atupwe nje katika mzunguko wa mwisho wa mbio za 5000m lakini amefuzu kwa fainali Jumamosi za mabingwa Beijing.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya ashinda mbio za Frankfurt

Mark Kiptoo ameimarisha ushindi wake katika mashindano ya mbio za Frankfurt mwaka huu baada ya kuibuka mshindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon

Mwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio



Mwanariadha Wilson Kipsang ashinda mbio za Berlin Marathon mwaka uliopitaMwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon zilizondaliwa mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 alishinda mbio hizo kwa muda wa saa mbili,dakika na sekunde 57 ambapo aliivunja rekodi ya awali kwa sekunde sita

Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.

 

10 years ago

Vijimambo

MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA



Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani