MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON
![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-boczHD4*NExK*JZrmFozx1eVjX3tpJ6FglFjY-6OSo27GRQY-a3J1pfoj6pBaKAvu6CXfGxhI48538IYPSKGq/farah.jpg)
Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Mutai ampiku Mo Farah New York
Geoffrey Mutai alishinda mbio za kilomita 21 za New York licha ya Muingereza Mo Farah Kupigiwa upatu
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wakenya watawala mbio za New York Marathon
Wakenya Stanley Biwott na Mary Keitany walishinda mbio za wanaume na wanawake katika mbio za New York Marathon zilizoandaliwa Jumapili.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74210000/jpg/_74210844_74209825.jpg)
Farah eighth in London Marathon
Kenyan athletes come first and second at the London marathon in both men's and women's races, with Mo Farah eight.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72268000/jpg/_72268388_farah_getty.jpg)
Farah set for stern marathon test
Mo Farah will face world record holder Wilson Kipsang at the 2014 London Marathon.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Farah afuzu fainali za mbio za 5000m
Mo Farah karibu atupwe nje katika mzunguko wa mwisho wa mbio za 5000m lakini amefuzu kwa fainali Jumamosi za mabingwa Beijing.
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Mkenya ashinda mbio za Frankfurt
Mark Kiptoo ameimarisha ushindi wake katika mashindano ya mbio za Frankfurt mwaka huu baada ya kuibuka mshindi.
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon
Mwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2013/09/29/130929122846_kenyan_berlin_marathon_512x288_d_nocredit.jpg)
Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/a3NuNObIX7Q/default.jpg)
MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA
Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania