Wakenya watawala mbio za New York Marathon
Wakenya Stanley Biwott na Mary Keitany walishinda mbio za wanaume na wanawake katika mbio za New York Marathon zilizoandaliwa Jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Wakenya watawala mbio za Berlin Marathon
Wakenya Eliud Kipchoge na Gladys Cherono ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Berlin Marathon yaliyofanyika leo huko Ujerumani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-boczHD4*NExK*JZrmFozx1eVjX3tpJ6FglFjY-6OSo27GRQY-a3J1pfoj6pBaKAvu6CXfGxhI48538IYPSKGq/farah.jpg)
MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON
Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakenya watamba London Marathon
Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.
11 years ago
MichuziWAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.
Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Msisimko wa mbio za Stanchart Marathon
Benki ya Standard Chartered iliandaa mbio za Marathon za kila mwaka jijini Nairobi. Hii ilikuwa makala ya 13.
10 years ago
GPLMBIO ZA UHURU MARATHON ZAZINDULIWA LEO
Kutoka kushoto ni Zainabu Mbino (M/Kiti Riadha Dar), Naibu Katibu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Ombeni Zavara, mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo, Elisante Ole Gabriel na Mratibu wa mashindano ya Uhuru Marathon, na Inocent Melleck. Mgeni Rasmi wa uzinduzi wa mbio za Uhuru Marathon, Mh. Elisante ole Gabriel akiongea na waandishi wa habari(… ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dC-WCjPdBzM/VD55vFACs-I/AAAAAAAGqoU/ImlmVkKaB3U/s72-c/MMGM0096.jpg)
Wadhamini waanza kujitokeza Mbio za Uhuru Marathon
![](http://3.bp.blogspot.com/-dC-WCjPdBzM/VD55vFACs-I/AAAAAAAGqoU/ImlmVkKaB3U/s1600/MMGM0096.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-owF_VCQLKsM/VD55uDGQW1I/AAAAAAAGqoE/RS0NQKxiV2c/s1600/MMGM0010.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Mar
NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeshiriki kwenye Mbio za nyika za zinazoendelea kuwa maarufu mwaka hadi mwaka Kilimanjaro ambazo zimefanyika kwa mwaka wa 13 mfululizo.
NSSF ilishiriki ikiwa kama mdhamini wa mbio za KM 5 ambazo zilishirikisha washiriki zaidi ya 3500. Pamoja na udhamini huo NSSF ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa wakazi mbalimbali wa Mkoa wa kilimanjaro walioshiriki na kutembelea kwenye banda lao.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia)...
NSSF ilishiriki ikiwa kama mdhamini wa mbio za KM 5 ambazo zilishirikisha washiriki zaidi ya 3500. Pamoja na udhamini huo NSSF ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa wakazi mbalimbali wa Mkoa wa kilimanjaro walioshiriki na kutembelea kwenye banda lao.
![Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/web.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania