Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakenya watamba London Marathon

Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

 

9 years ago

Michuzi

LUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON

Afisa utalii wa tanapa fredy shirima akiwa anamkabidhi zawadi Mwanariadha Reginal Lucian baada ya kushinda kilometa 42,baada ya kukimbia kwa muda wa  1:00:05. Baadhi ya wanariadha walifanikiwa kupata zawadi katika shindano Arusha tourism Marathon wakiwa katika picha ya pamoja .

Na Woinde Shizza,Arusha 

Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya watawala mbio za Berlin Marathon

Wakenya Eliud Kipchoge na Gladys Cherono ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Berlin Marathon yaliyofanyika leo huko Ujerumani.

 

11 years ago

Michuzi

WAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.   MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.   Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya watawala mbio za New York Marathon

Wakenya Stanley Biwott na Mary Keitany walishinda mbio za wanaume na wanawake katika mbio za New York Marathon zilizoandaliwa Jumapili.

 

9 years ago

Michuzi

WAKENYA NA MARAFIKI ZAO KUSHEHEREKEA TAMASHA MAALUM LONDON KESHO

Na Freddy Macha 
 Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo na chereko- chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia kesho Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati wanariadha wa Kenya wanaongoza "meza ya medali " mashindano yanayoendelea mjini Beijing, China. Bango la Kenya in the Park- Aug 2015Tamasha maalum la “Kenya in the Park” linaloongozwa na kikundi cha ngoma cha Malaika Dance na Taifa Radio FM chini ya msanii na mwanahabari, Lydia Olet, mkazi London, yatafanyika uwanja wa mpira wa Rugby na Soka kitongoji...

 

11 years ago

BBC

Farah eighth in London Marathon

Kenyan athletes come first and second at the London marathon in both men's and women's races, with Mo Farah eight.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: London Marathon's fantastic four

Meet the women deemed Kenya's 'fantastic four,' Edna Kiplagat, Florence Kiplagat, Mary Keitany and Priscah Jeptoo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani