Wakenya watamba London Marathon
Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Sep
KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
“Kenya and Friends in the Park†– yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HdDilBsjTM0/VoDzsHvRivI/AAAAAAAAP30/cLJv5Zif8Xs/s72-c/IMG-20151227-WA0017.jpg)
LUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON
![](http://2.bp.blogspot.com/-HdDilBsjTM0/VoDzsHvRivI/AAAAAAAAP30/cLJv5Zif8Xs/s640/IMG-20151227-WA0017.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2QhPa4Umsuo/VoDzyfKUmVI/AAAAAAAAP38/2AP1l9omAQY/s640/IMG-20151227-WA0010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RHGO0zZruRU/VoDz0k1VZFI/AAAAAAAAP4E/9tqV0fYK63o/s640/IMG-20151227-WA0014.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha
Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Wakenya watawala mbio za Berlin Marathon
Wakenya Eliud Kipchoge na Gladys Cherono ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Berlin Marathon yaliyofanyika leo huko Ujerumani.
11 years ago
MichuziWAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.
Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wakenya watawala mbio za New York Marathon
Wakenya Stanley Biwott na Mary Keitany walishinda mbio za wanaume na wanawake katika mbio za New York Marathon zilizoandaliwa Jumapili.
9 years ago
Michuzi28 Aug
WAKENYA NA MARAFIKI ZAO KUSHEHEREKEA TAMASHA MAALUM LONDON KESHO
Na Freddy Macha
Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo na chereko- chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia kesho Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati wanariadha wa Kenya wanaongoza "meza ya medali " mashindano yanayoendelea mjini Beijing, China.
Tamasha maalum la “Kenya in the Park” linaloongozwa na kikundi cha ngoma cha Malaika Dance na Taifa Radio FM chini ya msanii na mwanahabari, Lydia Olet, mkazi London, yatafanyika uwanja wa mpira wa Rugby na Soka kitongoji...
Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo na chereko- chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia kesho Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati wanariadha wa Kenya wanaongoza "meza ya medali " mashindano yanayoendelea mjini Beijing, China.
![Bango la Kenya in the Park- Aug 2015](https://kitoto.files.wordpress.com/2015/08/bango-la-kenya-in-the-park-aug-2015.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74210000/jpg/_74210844_74209825.jpg)
Farah eighth in London Marathon
Kenyan athletes come first and second at the London marathon in both men's and women's races, with Mo Farah eight.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82468000/png/_82468652_mmmarathonpromos.png)
VIDEO: London Marathon's fantastic four
Meet the women deemed Kenya's 'fantastic four,' Edna Kiplagat, Florence Kiplagat, Mary Keitany and Priscah Jeptoo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania