Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakenya watawala mbio za Berlin Marathon

Wakenya Eliud Kipchoge na Gladys Cherono ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Berlin Marathon yaliyofanyika leo huko Ujerumani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya watawala mbio za New York Marathon

Wakenya Stanley Biwott na Mary Keitany walishinda mbio za wanaume na wanawake katika mbio za New York Marathon zilizoandaliwa Jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bingwa wa Berlin Marathon asherehekewa

Mwanariadha Dennis Kimetto amepata makaribisho ya kufana aliporudi nchini Kenya siku ya jumapili,baada ya kuvunja rekodi ya dunia.

 

9 years ago

TheCitizen

Kipchoge, Cherono win Berlin Marathon

Kenyans Eliud Kipchoge and Gladys Cherono swept to their maiden Berlin Marathon victories in personal best times on Sunday in Germany.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya watamba London Marathon

Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.

 

11 years ago

Michuzi

WAKENYA WAENDELEA KUTESA KILIMANJARO MARATHON

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.   MWANARIADHA wa Kitanzania, Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya mbio ndefu za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya kilomita 21, (nusu marathon), kwa upande wa wanawake.   Katika mbio hizo zilizofanyika mjini Moshi,Sakilu ambaye ni afisa wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na mshindi wa kwanza wa mwaka jana ,Sara Ramadhan ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Msisimko wa mbio za Stanchart Marathon

Benki ya Standard Chartered iliandaa mbio za Marathon za kila mwaka jijini Nairobi. Hii ilikuwa makala ya 13.

 

10 years ago

GPL

MBIO ZA UHURU MARATHON ZAZINDULIWA LEO

Kutoka kushoto ni Zainabu Mbino (M/Kiti Riadha Dar), Naibu Katibu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Ombeni Zavara, mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo, Elisante Ole  Gabriel na Mratibu wa mashindano ya Uhuru Marathon, na Inocent Melleck. Mgeni Rasmi wa uzinduzi wa mbio za Uhuru Marathon, Mh. Elisante ole Gabriel akiongea na waandishi wa habari(… ...

 

10 years ago

Michuzi

Wadhamini waanza kujitokeza Mbio za Uhuru Marathon

Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Mama Consolata Adam (katikati) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 35 kwa Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon,Innocent Melleck (kulia) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo jijini Dar.Kushoto ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Shirikisho la Riadhaa Tanzania (RT), Tullo Chambo. Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Mama Consolata Adam akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) wakati wa kutanganza udhamini wa mbio fupi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani