Bingwa wa Berlin Marathon asherehekewa
Mwanariadha Dennis Kimetto amepata makaribisho ya kufana aliporudi nchini Kenya siku ya jumapili,baada ya kuvunja rekodi ya dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Wakenya watawala mbio za Berlin Marathon
Wakenya Eliud Kipchoge na Gladys Cherono ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya Berlin Marathon yaliyofanyika leo huko Ujerumani.
9 years ago
TheCitizen28 Sep
Kipchoge, Cherono win Berlin Marathon
Kenyans Eliud Kipchoge and Gladys Cherono swept to their maiden Berlin Marathon victories in personal best times on Sunday in Germany.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...
5 years ago
LetsRun.Com21 Feb
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs Daily NationView Full coverage on Google News
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Miaka 25 ya ukuta wa Berlin
Nchini Ujerumani, maelfu ya maputo yang'aayo yaliwekwa kwenye mstari wa kilomita kumi na tano za uliokuwa ukuta wa Berlin.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Yanga SC na ukuta wa ‘Berlin’
Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia mechi ya 15, Yanga imeonekana kuwa na ukuta imara mithili ya ule wa Berlin, Ujerumani miaka ya 80, ambao umekuwa mgumu kupitika ikilinganishwa na timu nyingine 13 zinazoshiriki ligi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Miaka 25 ya ukuta wa Berlin kuporomoshwa
Wajerumani waadhimisha miaka 25 tangu ukuta wa Berlin kuporomoshwa na kupelekea Ujerumani kuungana tena na Vita Baridi kumalizika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQkHB8DlzsTuGFmNQIi1ncT8Nt3IaDdHsVT-4vFGuyz2BLQ7WZpjBFI--9RAh*xciBxrgDHBqi-jNBEhTD-0c-K/kimetto.jpg?width=650)
MKENYA AVUNJA REKODI BERLIN
Dennis Kimetto. MWANARIADHA raia wa Kenya, Dennis Kimetto leo amevunja rekodi ya mbio za marathon jijini Berlin nchini Ujerumani kwa ushindi wake wa saa 2, dakika 2 na sekunde 57. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30, amevunja rekodi hiyo akipunguza sekunde 26 katika rekodi iliyowekwa na Mkenya mwenzake Wilson Kipsang ya 2: 03: 23 katika mashindano hayo yaliyofanyika mwaka jana jijini Berlin. Kimetto amesema: "najisikia vizuri...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania