Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 25 ya ukuta wa Berlin

Nchini Ujerumani, maelfu ya maputo yang'aayo yaliwekwa kwenye mstari wa kilomita kumi na tano za uliokuwa ukuta wa Berlin.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Miaka 25 ya ukuta wa Berlin kuporomoshwa

Wajerumani waadhimisha miaka 25 tangu ukuta wa Berlin kuporomoshwa na kupelekea Ujerumani kuungana tena na Vita Baridi kumalizika

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC na ukuta wa ‘Berlin’

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia mechi ya 15, Yanga imeonekana kuwa na ukuta imara mithili ya ule wa Berlin, Ujerumani miaka ya 80, ambao umekuwa mgumu kupitika ikilinganishwa na timu nyingine 13 zinazoshiriki ligi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua wanafamilia

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua mtoto

MTOTO Jackline Lubaka (5) mkazi wa Yombo Kilakala jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yasherehekea ukuta ulioanguka

Sherehe zinatarajiwa nchini Ujerumani kuadhimisha miaka 25 tangu kuanguka kwa ukuta wa Berlin.

 

10 years ago

Mtanzania

Watano waangukiwa na ukuta wa ghorofa

CLARA MATIMO NA ABUBAKARI, MWANZA
WATU watano wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na ukuta walipokuwa wakijenga ghorofa katika barabara ya Nyerere, Kata ya Pamba,Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema ghorofa hilo liliporomoka baada ya mafundi wa Kampuni ya Exactline ya Mwanza, kuchimba mashimo ya kuweka nguzo za jengo hilo.
Mmoja wa mashuhuda hao, Twahili Hussein alisema watu hao walikuwa kwenye mashimo matatu tofauti na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aangukiwa na ukuta wa jiko

MTOTO Grace Zefania (9), amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la jiko la Kanisa la Calvary Oysterbay Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30...

 

10 years ago

Vijimambo

UKUTA WA NYUMBA YA DIAMOND WAPIGA MWELEKA

Ukuta wa nyumba ya Diamond ikionekena kudondoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar Es Salaam sasa hivi

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga ukuta, Azam, Simba ushambuliaji

Ngome ya Yanga haijaruhusu bao katika  mechi tano ilizocheza chini ya kocha mpya, Marcio Maximo, mechi nne zikiwa za kirafiki na moja ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani