Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watano waangukiwa na ukuta wa ghorofa

CLARA MATIMO NA ABUBAKARI, MWANZA
WATU watano wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na ukuta walipokuwa wakijenga ghorofa katika barabara ya Nyerere, Kata ya Pamba,Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema ghorofa hilo liliporomoka baada ya mafundi wa Kampuni ya Exactline ya Mwanza, kuchimba mashimo ya kuweka nguzo za jengo hilo.
Mmoja wa mashuhuda hao, Twahili Hussein alisema watu hao walikuwa kwenye mashimo matatu tofauti na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanne waangukiwa na mawe mazito Mwanza

mwanza

Baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza wakiwa wamekusanyika eneo la tukio.

Na Mwandishi wetu, Mwanza

Watu wane wamefriki dunia katika Jiji la Mwanza baada ya nyumba zao kuporomokewa na miamba ya mawe, akitaja waliofariki, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Valentino Mlowola aliwataja waliofariki kuwa ni Emanuel Joseph na Kefa Joseph wanafunzi wa shule ya Msingi Mbugani, Kwinta Geko na Samson Odinya  ambao ni watu wazima

Kufuatia maporomoko hayo vilio vilitawala na watu wengi wa Jji la Mwanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya ghorofa yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi wa ghorofa wasitishwa

UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...

 

9 years ago

Mwananchi

Ghorofa la Sh500milioni labomolewa

Oparesheni ya bomoabomoa imeendelea kutikisa jijini Dar es Salaam huku ikiacha vilio na simanzi kwa wamiliki wa nyumba, likiwamo ghorofa mali ya mfanyabiashara lililojengwa kwa Sh500 milioni miaka 20 iliyopita.

 

10 years ago

GPL

KESI YA GHOROFA YAHAIRISHWA

   Mmoja wa watuhumiwa akitoka kwa hakimu.
   Watuhumiwa wakishuka ngazi.
   Mtuhumiwa akikwepa mwanga wa kamera ya GPL…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua mtoto

MTOTO Jackline Lubaka (5) mkazi wa Yombo Kilakala jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC na ukuta wa ‘Berlin’

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia mechi ya 15, Yanga imeonekana kuwa na ukuta imara mithili ya ule wa Berlin, Ujerumani miaka ya 80, ambao umekuwa mgumu kupitika ikilinganishwa na timu nyingine 13 zinazoshiriki ligi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miaka 25 ya ukuta wa Berlin

Nchini Ujerumani, maelfu ya maputo yang'aayo yaliwekwa kwenye mstari wa kilomita kumi na tano za uliokuwa ukuta wa Berlin.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua wanafamilia

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani