Wanne waangukiwa na mawe mazito Mwanza
Baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza wakiwa wamekusanyika eneo la tukio.
Na Mwandishi wetu, Mwanza
Watu wane wamefriki dunia katika Jiji la Mwanza baada ya nyumba zao kuporomokewa na miamba ya mawe, akitaja waliofariki, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Valentino Mlowola aliwataja waliofariki kuwa ni Emanuel Joseph na Kefa Joseph wanafunzi wa shule ya Msingi Mbugani, Kwinta Geko na Samson Odinya ambao ni watu wazima
Kufuatia maporomoko hayo vilio vilitawala na watu wengi wa Jji la Mwanza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Wanne wahukumiwa kifo Mwanza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvG1bjqID2tI94KSuwmMjqrdwpwxtFadI7yfDsarg9YupZcZZzC2Y9wyqCNlcuNuTxPzOq7R9zeKmGgHurS*ROCd/BREAKINGNEWS.gif)
WANNE WAUAWA MWANZA WAKIDAIWA KUIBA NG'OMBE
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Watano waangukiwa na ukuta wa ghorofa
CLARA MATIMO NA ABUBAKARI, MWANZA
WATU watano wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na ukuta walipokuwa wakijenga ghorofa katika barabara ya Nyerere, Kata ya Pamba,Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema ghorofa hilo liliporomoka baada ya mafundi wa Kampuni ya Exactline ya Mwanza, kuchimba mashimo ya kuweka nguzo za jengo hilo.
Mmoja wa mashuhuda hao, Twahili Hussein alisema watu hao walikuwa kwenye mashimo matatu tofauti na...
9 years ago
StarTV31 Dec
 Watu watatu wafariki, wanne hawajulikani walipo Ajali Ya Mtumbwi Mwanza
Watu watatu wamefariki baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kama kivuko cha kusafirisha abiria kutoka ufukweni kwenda kwenye boti ijulikanayo kama Mtu Ni Watu kuzama kwenye eneo la Mihama jijini Mwanza.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tatu usiku wa kuamkia leo, ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Kamishna msaidizi mwandamizi Justus Kamugisha amethibisha kutokea kwa ajali hiyo
Takribani miaka ishirni tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba kilometa chache tu kabla ya kutia nanga jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ue6j248sCV0/Xru-XHWoQuI/AAAAAAALqCI/sptNgMlmGM4aKoVfmxF-WyvtloyCG-VEwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAWASHIKILIA WATUHUMIWA WANNE, LAKAMATA INJINI ZA BOTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ue6j248sCV0/Xru-XHWoQuI/AAAAAAALqCI/sptNgMlmGM4aKoVfmxF-WyvtloyCG-VEwCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
HUSUSANI VISIWA VYA JUMA, GEMBALE NA ZILAGULA, VILIVYOPO WILAYA YA SENGEREMA, AMBAPO WALIKAMATWA WATUHUMIWA WANNE AMBAO NI;-1. FILBERT KIPARA @...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KINARA USAMBAZAJI ZANA HARAMU ZA UVUVI MBARONI MWANZA, POLISI WANNE WADAKWA KWA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KIGOGO na kinara wa uingizaji na usambazaji wa zana haramu za uvuvi katika Ziwa Victoria , Jeremiah Asama ( 48),mkazi wa Bwiru, Manispaa ya Ilemela ni miongoni mwa watu sita wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, huku mtuhumiwa wa saba akidaiwa kutoroka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro alisema juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kukamatwa kwa watu hao wakiwemo askari wanne wa jeshi hilo wanaodaiwa kukiuka maadili ya...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-aEGBszvWfgk/VFqC8Mm9NHI/AAAAAAAArmc/Z7_QVP0NEL8/s1600/JK%2B3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, MAKATIBU WAKUU WANNE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s1600/1.jpg)