Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANNE WAUAWA MWANZA WAKIDAIWA KUIBA NG'OMBE

WATU wanne wameuawa na wananchi waliokuwa na silaha za jadi kisha kukatwa mapanga wakituhumiwa kuiba ng'ombe katika kijiji cha Igwambiti, Kitongoji cha Buhongwa, Kata ya Nyamagana, Mkoani Mwanza leo asubuhi.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanne wauawa wakituhumiwa kuiba

WATU wanne wameuawa na kundi la watu wasiojulikana, wakituhumiwa kuiba ng’ombe katika Kijiji cha Igwambiti Kata ya Buhongwa, jijini hapa. Mtendaji wa Kata ya Buhongwa, Benedict Kabadi alisema alipokea taarifa za kuwepo kwa mauaji hayo jana asubuhi na kwamba alipofika katika eneo la tukio, aliikuta miili ya watu watatu waliouawa.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’

WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti

WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.

 

11 years ago

GPL

REDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA

Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano  wa TV1, Mponjoli Katule.…

 

10 years ago

Habarileo

Watatu wauawa wakidaiwa kupora pikipiki

VIJANA watatu ambao hawajafahamika majina yao wanaokadiriwa kuwa na kati ya miaka 25 na 30, wameuawa na wananchi na kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za kupora pikipiki.

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA FILAMU YA 'I LOVE MWANZA' HAUKUWA WA KISIASA - BONGO MOVIE‏

 Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (katikati) akitoa taarifa ya kukanusha uzinduzi wa filamu ya "I Love Mwanza" kujihusisha na masuala ya kisiasa. Kushoto kwa Nyerere ni Sabrina Lupia (Cathy) na kulia kwake ni Wastara Juma na Salama "Sandra" Salimin.
  Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (katikati) akitoa tarifa ya kukanusha taarifa za uzinduzi… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe

Polisi inawashikilia watuhumiwa watatu kwa madai ya kuhusika na wizi wa ng’ombe 15, ambao waliibwa wilayani Misungwi mkoani hapa usiku wa Mei 9.

 

11 years ago

Habarileo

Ng’ombe 150 wauawa Biharamulo

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna TibaijukaNG’OMBE 150 wameuawa na askari wa Wanyama Pori katika Hifadhi ya Biharamulo, kutokana na mgogoro uliokuwepo wa kuwaondoa baadhi ya wafugaji, waliovamia eneo la hifadhi.

 

9 years ago

Habarileo

Mkulima, ng’ombe 71 wauawa Morogoro

MKULIMA mmoja ameuawa kwa kuchomwa na mkuki na zaidi ya ng’ombe 71 wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji cha Dihinda katika Kata ya Kanga Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani