Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’
WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Sep
Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti
WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.
11 years ago
GPL
WANNE WAUAWA MWANZA WAKIDAIWA KUIBA NG'OMBE
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
11 years ago
Mwananchi17 May
Kizimbani kwa kuiba masufuria ya Sh355 milioni
11 years ago
Habarileo12 Dec
Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach
WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.
11 years ago
GPL
MASTAA WA MUVI WAZICHAPA WAKIDAIWA...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...
11 years ago
Habarileo15 Aug
Watatu wauawa wakidaiwa kupora pikipiki
VIJANA watatu ambao hawajafahamika majina yao wanaokadiriwa kuwa na kati ya miaka 25 na 30, wameuawa na wananchi na kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za kupora pikipiki.