Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kizimbani kwa kuiba masufuria ya Sh355 milioni

Ofisa Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Aluminium Holloware (TZ) Limited, Nurdin Mohamed amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka ya wizi wa katoni 7,500 za masufuria na kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach

WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’

WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-

MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.

 

10 years ago

Mtanzania

DED kizimbani kwa kusababisha hasara ya milioni 24/-

Na Lushishi Robert, Serengeti

TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara, imemfikisha mahakamani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Goody Kitambo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababisha Serikali hasara ya Sh milioni 24.5.

Kitambo alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti akituhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake ikiwa ni pamoja na kukiuka sheria ya ununuzi wa umma kwa kuelekeza magari ya halmashauri ya wilaya hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti

WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.

 

10 years ago

GPL

KUNDI LA 50 CENT LADAIWA KUIBA SAA NA MKUFU WA SH. MILIONI 496

Rappa 50 Cent akiwa katika pozi na Mayweather. MWANAMUZIKI (rapper) 50 Cent wa nchini Marekani na kundi lake wamedaiwa kutumia bastola kumtishia muuza vito na kumwibia saa aina ya Rolex na mkufu wenye thamani ya Sh. Milioni 496 wakati wa pambano la mabondia Mayweather na Pacquiao lililiofanyika hivi karibuni huko Las Vegas. Sehemu ya vitu vinavyodaiwa kuibiwa na kundi la 50 Cent. Robert Marin, mmiliki wa duka la vito la LAX...

 

10 years ago

GPL

KIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA

Mwendesha bodaboda akiendelea kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es Salaam,  juzi jioni ambapo alidaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu…

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili


Katika hotuba yake amesema haingii ikulu kutafuta fedha anaenda ikulu kwa kazi moja tu ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na maendeleo . Amesema dhamira yake ni kuona taifa linasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Amesema atapunguza mshahara wa Rais ambao analipwa hivi sasa dola 192,000 sawa na milioni mia nne kwa mwezi hadi kufikia milioni mbili kwa mwezi amesema kuna faida gani ya mtu kupokea mshahara wote huo ili hali wananchi wako hawana maji , zahanati hakuna dawa, pembejeo za kilimo zipo juu,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahukumiwa Marekani kwa kuiba nyimbo

Mahakama nchini Marekani imetoa hukumu juu ya wimbo bora katika mauzo uitwao Got To Give it Up.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani