Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili
![](http://4.bp.blogspot.com/-z9Uu1Xln-jQ/Ve2krjgzCBI/AAAAAAAAKrw/E78KDXqYvvQ/s72-c/mafuriko%2Bhadi%2Bikulu.jpg)
Katika hotuba yake amesema haingii ikulu kutafuta fedha anaenda ikulu kwa kazi moja tu ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na maendeleo . Amesema dhamira yake ni kuona taifa linasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Amesema atapunguza mshahara wa Rais ambao analipwa hivi sasa dola 192,000 sawa na milioni mia nne kwa mwezi hadi kufikia milioni mbili kwa mwezi amesema kuna faida gani ya mtu kupokea mshahara wote huo ili hali wananchi wako hawana maji , zahanati hakuna dawa, pembejeo za kilimo zipo juu,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s72-c/3.png)
DIAMOND AKANUSHA KUPEWA MILIONI 500 NA LOWASSA ILI AMPIGIE KAMPENI....ASEMA TAARIFA HIZO ZINALENGO LA KUMCHAFUA LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s640/3.png)
Alisema hata hivyo Diamond yupo tayari kumfanyia kampeni mgombea yeyote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsqCgq9CGHK7YBmTr9ZK0-Fh8tdSWp0j1QVIfhxvRe6RN2vpzPUjLP3Hkujby2zxovc4uLWs0CWKwNJbTWl-T5cS/1.jpg?width=650)
TIGO YATOA MILIONI 400 KWA WATEJA WAKE
11 years ago
GPL05 Feb
10 years ago
GPLNSSF YATOA MILIONI MBILI KWA MJANE WA GURUMO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXo919iGUTRGoHtp4t3D3sDCdwOV6mxPtGeWkk1gUDwtvhN3AV8mYvNbWQ*hfMlq--2dFHnO8Gqb**GuUq1ZU*b3/rickross2013.jpg?width=650)
RICK ROSS AACHIWA KWA DHAMANA YA DOLA MILIONI MBILI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
10 years ago
MichuziMSAMA AKABIDHI MILIONI MBILI KWA AJILI YA KUSIDIA MAPAMBANO DHIDI YA MAUAJI YA ALBINO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p_nG-QLlZI4/XutbYIFT8eI/AAAAAAALudM/IxWGmPyYpEI5ik4_kcDi7US74EH0F0TqQCLcBGAsYHQ/s72-c/1%25281%2529.png)
TAG Njombe wamkabidhi milioni mbili Ole Sendeka kwa ajili ya kupambana na Corona
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Watumia milioni 400/- kugharamia miradi ya kijamii
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua kituo cha kisasa cha polisi kata ya Mang’onyi wilaya ya Ikungi kilichojengwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 244 milioni.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mang’onyi wilaya ya Ikungi kama sehemu ya uzinduzi wa mradi wa maji uliogharamiwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi 126.8...