MSAMA AKABIDHI MILIONI MBILI KWA AJILI YA KUSIDIA MAPAMBANO DHIDI YA MAUAJI YA ALBINO
Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akimkabidhi fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni moja Mjumbe wa Kamati Kuu Taifa ya Chama cha Albino Tanzania, Mohamed Chanzi kwa ajili kuunga mkono kampeni ya kupinga mauaji ya albino. Kushoto ni Mweka Hazina wa Chama hicho, Abdilah Omari na wa pili kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha la Pasaka, Hudson Kamoga. Mbali na fedha hizo Msama alikabidhi hundi ya sh. milioni moja. (Picha na Francis Dande)
Msama akikabidhi hundi ya sh....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1lXnAUzo5O8/Xo3kCsl4rxI/AAAAAAALmjg/vqegO0e1Iz4EEU8CMXPyeYfVXQpATkg7gCLcBGAsYHQ/s72-c/9c4c9c61-31e4-484b-8337-fc25c390cc0b.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...
10 years ago
StarTV09 Jan
Mapambano dhidi ya mauaji ya Albino, UN yahimiza uwajibikaji.
Na Rogers Wilium na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Shirika la Umoja wa Mataifa UN limesema mauaji ya Albino, vitendo vya ukatili wa kijinsia na tatizo la watoto wa mitaani nchini T anzania yanaweza kutatuliwa kwa uwajibikaji wa mamlaka na idara zote nchini.
Hoja hiyo inakuja katika ziara ya Mkurugenzi mkazi wa Shirika hilo Alvaro Rodriguez aliyoifanya kwenye mikoa ya Mwanza, Mara na Shinyanga na kujionea changamoto hizo kwa ujumla.
Mikoa ya kanda ya Ziwa bado inakumbana na tatizo la...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA APOKEA MISAADA KWA AJILI YA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s72-c/hc1.jpg)
Serikali yapokea msaada wa Helkopta kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ujangili
![](http://2.bp.blogspot.com/-50c04-gCrjQ/U53IrVfdUzI/AAAAAAACjbk/d7xSwbas9LU/s1600/hc1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHwljsc8yWs/U53JJc_iPPI/AAAAAAACjb0/HKfhhYB-LUQ/s1600/hc3.jpg)
11 years ago
Michuzi8.5 Mil zatengwa kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa Ukimwi wilayani Kalambo
OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa kupitia kitengo cha UKIMWI kimetumia zaidi ya shilingi milioni 8.5 kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo katika wilaya hiyo.
Fedha hizo zimetumika kuwanunulia wanafunzi yatima wanaoishi katika mazingira magumu sare za shule, viatu pamoja vifaa vya kujifunzia ikiwemo madaftari na kalamu, ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godfrey Sichona alikabidhi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GuMFUomkurY/VOq4RN-S97I/AAAAAAAC0QM/mOWBoB-oON0/s72-c/1.jpg)
MSAMA PROMOTIONS LTD YAMWAGA MISAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA, YALAANI MAUAJI YA ALBINO YANAYOENDELEA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-GuMFUomkurY/VOq4RN-S97I/AAAAAAAC0QM/mOWBoB-oON0/s1600/1.jpg)
Msama amekabidhi misaada hiyo kwa vituo vitano...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mkurugenzi Alex Msama amwaga misaada kwa vituo vya watoto yatima, alaani mauaji ya Albino yanayoendelea nchini
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.
Tamasha hilo Litafanyika jijini Dar es salaam Aprili 7...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p_nG-QLlZI4/XutbYIFT8eI/AAAAAAALudM/IxWGmPyYpEI5ik4_kcDi7US74EH0F0TqQCLcBGAsYHQ/s72-c/1%25281%2529.png)
TAG Njombe wamkabidhi milioni mbili Ole Sendeka kwa ajili ya kupambana na Corona
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-E1b2eR-VtG4/VYwrNxmWWvI/AAAAAAABy_Y/rDImF608UGI/s72-c/647.jpg)
BALOZI SEIF AKABIDHI SHILINGI MILIONI NNE KWA AJILI YA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO WA TIMU YA FUJONI BOYS
![](http://4.bp.blogspot.com/-E1b2eR-VtG4/VYwrNxmWWvI/AAAAAAABy_Y/rDImF608UGI/s640/647.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRorrV_54Ps/VYwrOAuPhNI/AAAAAAABy_c/YseC-D_zN3w/s640/648.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hIO5YmEwr6o/VYwrOOHGbxI/AAAAAAABy_k/2f-nCHBZUnY/s640/658.jpg)
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi...