Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF YATOA MILIONI MBILI KWA MJANE WA GURUMO

Viongozi wa NSSF na Shirikisho la Muziki Tanzania wakimkabidhi Pili Gurumo hundi hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NSSF YAMKABIDHI MJANE WA MAALIM GURUMO HUNDI YAB YA MILIONI MBILI

Mke wa marehemu Gurumo akikabidhiwa cheki ya Sh. milioni mbili.

 

10 years ago

GPL

MJANE WA GURUMO AWASHUKURU NSSF

Shani Ramadhani SIKU chache baada ya mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro, kukabidhiwa shilingi milioni mbili na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ajili ya kununua bajaj, amelishukuru kwa kujitoa kwao. Mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro. Akizungumza na Amani, Pili alilisifu shirika hilo kwa kuthamini michango ya wanamuziki. “Nawashukuru NSSF kwa kunitoa kwenye mawazo kwani mchango wao...

 

10 years ago

Michuzi

SHIMUTA, NSSF WAMJAZA MANOTI MJANE WA GURUMO

Hatimaye mjane wa marehemu Muhidini Gurumo, Pili Kitwana amepokea Sh2 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF kwa ajili ya ununuzi wa Bajaji.
NSSF ilitoa fedha hizo ikiwa ni juhudi za Shirikisho la Muziki nchini (SHIMUTA), ambapo walimuahidi kumpatia mjane huyo kiasi cha fedha ambacho kitamuwezesha kununua bajaji imsaidie kuendesha maisha yake.
"Mwaka huu mwezi wa tano tulimuahidia mama Gurumo tutamsaidia kusaka fedha kwa wadau mbali mbali tuweze kufanikisha azma yetu ya...

 

5 years ago

Michuzi

ALLIANCE ONE YATOA VIFAA VYA UJENZI VYA MILIONI 23.9 KWA WILAYA MBILI ZA MKOA WA TABORA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(katikati) akizungumza na waandishi wa habri leo wakati wa kupokea vifaa vya ujenzi kwa ajili ya Wilayaya Uyui na Tabora kutoka Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) vyenye thamani ya shilingi milioni 23.9.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wa tatu kutoka kulia) akiipokea nondo za ujenzi kwa ajili ya Wilaya ya Uyui na Tabora kutoka MKurugenzi wa Uzalishaji wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) David Mayunga (wa pili...

 

11 years ago

Habarileo

TSN yatoa msaada kwa mjane

Bibi Amina Mayove mkazi wa Mbagala Kipati, Dar es Salaam akipokea msaada wa fedha Sh 550,500 za mtaji wa biashara kutoka kwa Ofisa Rasilimaliwatu wa Kampuni ya magazeti ya serikali (TSN), Joseph Kilima jana. Katikati ni Kaimu Mhariri wa gazeti hili, Nicodemus Ikonko. (Picha na Mroki Mroki).KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) ambayo ni mchapishaji wa magazeti ya Daily News na HabariLeo imempatia Sh 550,500 kwa mjane, Amina Mayove kumwezesha kufungua biashara ndogo ajikimu kimaisha.

 

10 years ago

Dewji Blog

TPA yatoa shilingi milioni mbili kusaidia wanahabari wanaopambana na ujangili nchini

2

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe akizungumza na wanahabari wakati akikabidhi hundi ya sh.milioni mbili kwa Taasisi ya Habari Development Association Dar es Salaam jana asubuhi.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi ya sh.milioni mbili kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Habari Development Association (HDA), Kunze Mswanyama (kulia), Dar es Salaam jana...

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili


Katika hotuba yake amesema haingii ikulu kutafuta fedha anaenda ikulu kwa kazi moja tu ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na maendeleo . Amesema dhamira yake ni kuona taifa linasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Amesema atapunguza mshahara wa Rais ambao analipwa hivi sasa dola 192,000 sawa na milioni mia nne kwa mwezi hadi kufikia milioni mbili kwa mwezi amesema kuna faida gani ya mtu kupokea mshahara wote huo ili hali wananchi wako hawana maji , zahanati hakuna dawa, pembejeo za kilimo zipo juu,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (PTA), YATOA SHILINGI MILIONI MBILI KUSAIDIA WANAHABARI WANAOPAMBANA NA UJANGILI NCHINI

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (PTA), Awadh Massawe akizungumza na wanahabari wakati akikabidhi hundi ya sh.milioni mbili kwa Taasisi ya Habari Development Association Dar es Salaam jana asubuhi. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (PTA), Awadh Massawe (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi ya sh.milioni mbili kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Habari Development Association (HDA), Kunze Mswanyama (kulia), Dar es Salaam jana asubuhi...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YATOA FURSA KWA WAKAZI WA MBEYA NA SONGEA

Kupitia Semina za Fursa zinazoendelea kufanyika katika mikoa mbali mbali hapa nchini, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) imekuwa ikitoa Elimu ya Hifadhi ya Jamii kwa wananchi na kuwahamasisha kujiunga na mfuko huo ili waweze kunufaika na mafao ya NSSF hususani matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake pamoja na mikopo kupitia SACCOS.
Fursa nyingine kutoka NSSF ambazo mwanachama anaweza kunufaika nazo ni pamoja na Pensheni ya uzeeni, Pensheni ya Ulemavu, Pensheni ya Urithi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani