Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF YAMKABIDHI MJANE WA MAALIM GURUMO HUNDI YAB YA MILIONI MBILI

Mke wa marehemu Gurumo akikabidhiwa cheki ya Sh. milioni mbili.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NSSF YATOA MILIONI MBILI KWA MJANE WA GURUMO

Viongozi wa NSSF na Shirikisho la Muziki Tanzania wakimkabidhi Pili Gurumo hundi hiyo.…

 

10 years ago

GPL

MJANE WA GURUMO AWASHUKURU NSSF

Shani Ramadhani SIKU chache baada ya mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro, kukabidhiwa shilingi milioni mbili na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ajili ya kununua bajaj, amelishukuru kwa kujitoa kwao. Mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro. Akizungumza na Amani, Pili alilisifu shirika hilo kwa kuthamini michango ya wanamuziki. “Nawashukuru NSSF kwa kunitoa kwenye mawazo kwani mchango wao...

 

10 years ago

Michuzi

SHIMUTA, NSSF WAMJAZA MANOTI MJANE WA GURUMO

Hatimaye mjane wa marehemu Muhidini Gurumo, Pili Kitwana amepokea Sh2 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF kwa ajili ya ununuzi wa Bajaji.
NSSF ilitoa fedha hizo ikiwa ni juhudi za Shirikisho la Muziki nchini (SHIMUTA), ambapo walimuahidi kumpatia mjane huyo kiasi cha fedha ambacho kitamuwezesha kununua bajaji imsaidie kuendesha maisha yake.
"Mwaka huu mwezi wa tano tulimuahidia mama Gurumo tutamsaidia kusaka fedha kwa wadau mbali mbali tuweze kufanikisha azma yetu ya...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi hundi ya sh. milioni 20 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda zilizotolewa na benki hiyo baada ya  meya huyo kupata tuzo ya Meya Bora Afrika iliyotolewa na Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam. Meya wa Kinondoni Yusuf Mwenda akitoa shukrani zake kwa uongozi wa Benki ya CRDB kwa kutambua juhudi wanazofanya katika utendaji kazi na masuala ya usafi na ukusanyaji wa mapato.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwaheri Maalim Gurumo

NGULI wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akiwa na umri wa miaka 73. Gurumo, mwanamuziki mwenye historia ndefu...

 

11 years ago

GPL

R.I.P MUHIDIN MAALIM GURUMO

Mzee Gurumo akiwa na Msondo Ngoma enzi za uhai wake. Maalim Gurumo (katikati) akiimba sambamba na Shabani Dede (kulia) na …

 

11 years ago

GPL

RATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO

Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…

 

11 years ago

GPL

SAA 72 ZA MWISHO WA MAALIM GURUMO

Stori:  Oscar Ndauka MWANAMUZI nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa dansi, aliyeaga dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar, alikutana na mateso ya kwa saa 72 za mwisho wake baada ya kulazwa akiwa taabani kwa siku tatu. Mwanamuziki Muhidini Maalim Gurumo akiwa mahututi katika hospitali ya Taifa Muhimbili. Mtoto wa marehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani