NSSF YAMKABIDHI MJANE WA MAALIM GURUMO HUNDI YAB YA MILIONI MBILI
![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjYXOIcQNIHdxED-VNdfmh*FlicaVBokQXES67MbQFYBTJNzLamjQv9*Dx5T7IFGOtwMUvE6Hn39LDg0*POaLt*0/IMG20141230WA00291.jpg)
Mke wa marehemu Gurumo akikabidhiwa cheki ya Sh. milioni mbili.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNSSF YATOA MILIONI MBILI KWA MJANE WA GURUMO
Viongozi wa NSSF na Shirikisho la Muziki Tanzania wakimkabidhi Pili Gurumo hundi hiyo.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci35vUM-NL25N8HW7-hSbe1e1Y42ZtLVYrhDnjNhdhsgWtiOysP1UUr0h1KW4-V8CFWr-0A25l5NbJMC4Ywz8Akx/Pili.jpg?width=650)
MJANE WA GURUMO AWASHUKURU NSSF
Shani Ramadhani SIKU chache baada ya mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro, kukabidhiwa shilingi milioni mbili na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ajili ya kununua bajaj, amelishukuru kwa kujitoa kwao. Mjane wa marehemu, Muhidin Gurumo, Pili Nassoro. Akizungumza na Amani, Pili alilisifu shirika hilo kwa kuthamini michango ya wanamuziki. “Nawashukuru NSSF kwa kunitoa kwenye mawazo kwani mchango wao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jWhnAjimDhw/VKK5L9YUPLI/AAAAAAAG6mc/dxWuAztwl6g/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
SHIMUTA, NSSF WAMJAZA MANOTI MJANE WA GURUMO
Hatimaye mjane wa marehemu Muhidini Gurumo, Pili Kitwana amepokea Sh2 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF kwa ajili ya ununuzi wa Bajaji.
NSSF ilitoa fedha hizo ikiwa ni juhudi za Shirikisho la Muziki nchini (SHIMUTA), ambapo walimuahidi kumpatia mjane huyo kiasi cha fedha ambacho kitamuwezesha kununua bajaji imsaidie kuendesha maisha yake.
"Mwaka huu mwezi wa tano tulimuahidia mama Gurumo tutamsaidia kusaka fedha kwa wadau mbali mbali tuweze kufanikisha azma yetu ya...
NSSF ilitoa fedha hizo ikiwa ni juhudi za Shirikisho la Muziki nchini (SHIMUTA), ambapo walimuahidi kumpatia mjane huyo kiasi cha fedha ambacho kitamuwezesha kununua bajaji imsaidie kuendesha maisha yake.
"Mwaka huu mwezi wa tano tulimuahidia mama Gurumo tutamsaidia kusaka fedha kwa wadau mbali mbali tuweze kufanikisha azma yetu ya...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Kwaheri Maalim Gurumo
NGULI wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akiwa na umri wa miaka 73. Gurumo, mwanamuziki mwenye historia ndefu...
11 years ago
GPLR.I.P MUHIDIN MAALIM GURUMO
Mzee Gurumo akiwa na Msondo Ngoma enzi za uhai wake. Maalim Gurumo (katikati) akiimba sambamba na Shabani Dede (kulia) na …
11 years ago
GPLRATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO
Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIPaUiyuZgEqTtSyEbPkGqIaugK7tdOb95G-Mfc3CoJk*zB823XWhPCh2VxM3zUq4zlonxv*PQ5Rti5nQb013J5/maalimu.jpg?width=650)
SAA 72 ZA MWISHO WA MAALIM GURUMO
Stori:Â Oscar Ndauka MWANAMUZI nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa dansi, aliyeaga dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar, alikutana na mateso ya kwa saa 72 za mwisho wake baada ya kulazwa akiwa taabani kwa siku tatu. Mwanamuziki Muhidini Maalim Gurumo akiwa mahututi katika hospitali ya Taifa Muhimbili. Mtoto wa marehemu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10