Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAA 72 ZA MWISHO WA MAALIM GURUMO

Stori:  Oscar Ndauka MWANAMUZI nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa dansi, aliyeaga dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar, alikutana na mateso ya kwa saa 72 za mwisho wake baada ya kulazwa akiwa taabani kwa siku tatu. Mwanamuziki Muhidini Maalim Gurumo akiwa mahututi katika hospitali ya Taifa Muhimbili. Mtoto wa marehemu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

R.I.P MUHIDIN MAALIM GURUMO

Mzee Gurumo akiwa na Msondo Ngoma enzi za uhai wake. Maalim Gurumo (katikati) akiimba sambamba na Shabani Dede (kulia) na …

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwaheri Maalim Gurumo

NGULI wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akiwa na umri wa miaka 73. Gurumo, mwanamuziki mwenye historia ndefu...

 

11 years ago

GPL

RATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO

Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO ZA MAREHEMU MUHIDIN GURUMO

Picha kwa hisani ya…

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA GURUMO DUNIANI LEO

Makamu wa Rais Dk Mohamed Bilal akiwasili nyumbani kwa marehemu Muhidini Gurumo, Makubuli, Ubung, Dar leo asubuhi. Makamu wa Rais, Dk Bilal (Mwenye suti) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana wakiwa msibani leo.…

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

KIPINDI MAALUM: MSIBANI KWA MAALIM GURUMO

GLOBAL TV ONLINE ilipotembelea msibani kwa marehemu Muhidin 'Maalim' Gurumo huko Mabibo, Makuburi jijini Dar es Salaam na kuongea na wanafamilia akiwemo mke wa marehemu Bi.Pili Said. (Video na Patrick Buzohera /…

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAALIM MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA

MAALIM MUHIDIN GURUMO ENZI ZA UHAI WAKE.
NGULI WA MUZIKI WA DANSI HAPA NCHINI NA ALIEKUWA KIONGOZI WA BENDI YA MSONDO NGOMA,MAALIM MUHIDIN GURUMO AMEFARIKI DUNIA MCHANA WA LEO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI ALIKOKUWA AMELAZWA KWA MATIBABU.
MAALIM GURUMO AMEFIKWA NA MAUTI HAYO BAADA YA KUSUMBULIWA NA MARADHI KWA KIPINDI KIREFU,HALI ILIYOMPELEKEA KUSHINDWA KABISA KUONEKANA TENA JUKWAANI.
MSIBA UPO NYUMBANI KWA MAREHEMU TABATA MAKUBURI NA MIPANGO YOTE ITAFANYIKA HAPO.
GLOBU YA...

 

11 years ago

GPL

HUYU NDIYE MUHIDIN ‘MAALIM’ GURUMO

Mwanamuziki mkongwe nchini, Muhidin 'Maalim' Gurumo enzi za uhai wake. JUZI tasnia ya muziki nchini ilipata pigo kufuatia kuondokewa na mwanamuziki wake mkongwe na mahiri, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo ambaye alifariki dunia saa 9 alasiri kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Wadi ya Mwaisela alikokuwa amelazwa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani