SAFARI YA MWISHO YA GURUMO DUNIANI LEO
Makamu wa Rais Dk Mohamed Bilal akiwasili nyumbani kwa marehemu Muhidini Gurumo, Makubuli, Ubung, Dar leo asubuhi. Makamu wa Rais, Dk Bilal (Mwenye suti) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana wakiwa msibani leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-XdVLR_CUpRI/U00C6EwDyAI/AAAAAAAAFw0/qeP0RnFFYyw/s1600/10249173_227498430776023_2019706339_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QBcqqjl68UQ/VPpGuCu9oBI/AAAAAAAHIds/5vXoe6cW6NM/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
USIKU WA MWANAMKE DUNIANI LEO NDANI YA SAFARI CARNIVAL MIKOCHENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-QBcqqjl68UQ/VPpGuCu9oBI/AAAAAAAHIds/5vXoe6cW6NM/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Safari ya mwisho ya marehemu Adam kuambiana ilivyokuwa leo viwanja vya leaders Dar es salaam
Pumzika kwa Amani Adam Kuambiana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIPaUiyuZgEqTtSyEbPkGqIaugK7tdOb95G-Mfc3CoJk*zB823XWhPCh2VxM3zUq4zlonxv*PQ5Rti5nQb013J5/maalimu.jpg?width=650)
SAA 72 ZA MWISHO WA MAALIM GURUMO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVVjnwxIgTDAQVFmMHSjCh0*BCUlGLA*RmbsISBczKZKbwQ9yrIiiHZlgFucnT-VUGbAQOow*tu0BKEd3pXobyWj/IMG20140524WA0013.jpg?width=650)
SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s72-c/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone
![](http://1.bp.blogspot.com/-syPVR2kbMXI/VapNZ3hhO1I/AAAAAAAHqUs/cQkc6RwzLx0/s640/ArWBAjf5czyy_LMzr73Z49qwLy-Fu_dhXM7q9rRtyU_B.jpg)
10 years ago
Michuzisafari ya mwisho ya Mpiganaji Bernard Rwebangira
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi kuwa Mpiga picha wa Kampuni ya TSN wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Sunday News pamoja na Habari leo.Mungu aiweke roho ya Marehemu mahapa pema Peponi, Amin.
Sehemu ya Ndugu wa Marehemu Bernard Rwebangira wakiwa ni wenye huzuni kubwa kuondokewa na Mpendwa wao, wakati wa Ibada ya kuaga mwili...
11 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA KENNETH KIDAGO LYANGA
11 years ago
Dewji Blog18 May
Safari ya mwisho ya Mwanasheria Luke Seyayi
Mchungaji wa kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.
Shemeji yake Marehemu Judith Mtania (katikati)akilia kwa uchungu.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za...