Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari ya mwisho ya Mwanasheria Luke Seyayi

005 SAFARI

Mchungaji wa kanisa la AIC  la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.

004 SAFARI

Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.

002 SAFARI

Shemeji yake Marehemu Judith Mtania (katikati)akilia kwa uchungu.

003 SAFARI

Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni.

006 SAFARI

Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA MWANASHERIA LUKE SEYAYI‏

Mchungaji wa Kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za mwisho.…

 

11 years ago

Michuzi

Buriani MWANASHERIA LUKE SEYAYI

 Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni jijini Dar es salaam.  Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni. Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni.   Familia ya Seyayi Mama mzazi (watatu...

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA GURUMO DUNIANI LEO

Makamu wa Rais Dk Mohamed Bilal akiwasili nyumbani kwa marehemu Muhidini Gurumo, Makubuli, Ubung, Dar leo asubuhi. Makamu wa Rais, Dk Bilal (Mwenye suti) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana wakiwa msibani leo.…

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MAXMILIAN NGUBE

Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Maxmilian John Ngube likiwa kwenye viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam mchana wa leo tayari kwa shughuli ya kuagwa na kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni.Max Ngobe alifariki Dunia mwishoni mwa wiki iliyopita kutoka na maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.
Risala fupi ikisomwa wakati wa Shughuli hiyo na Kuangwa kwa Marehemu Max Ngobe mmoja wa wanahabari wakongwe Tanzania.
Wanahabari wakirekodi tukio la kuaga Mwili wa Marehemu...

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA

Waombelezaji wakitoka msikitini tayari kwa kwenda kwenye maziko. Mwili wa marehemu Amina Ngaluma ukishushwa tayari kuingia kaburini kwa maziko, Machimbo Mnarani.…

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO ZA MAREHEMU MUHIDIN GURUMO

Picha kwa hisani ya…

 

10 years ago

Michuzi

Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone

Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja "Banza Stone" wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi  kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.

 

10 years ago

Michuzi

safari ya mwisho ya Mpiganaji Bernard Rwebangira


Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi kuwa Mpiga picha wa Kampuni ya TSN wachapishaji wa Magazeti ya Daily News, Sunday News pamoja na Habari leo.Mungu aiweke roho ya Marehemu mahapa pema Peponi, Amin.
Sehemu ya Ndugu wa Marehemu Bernard Rwebangira wakiwa ni wenye huzuni kubwa kuondokewa na Mpendwa wao, wakati wa Ibada ya kuaga mwili...

 

11 years ago

Mwananchi

Kufeli mitihani si mwisho wa safari, jipange

Februari mwaka huu, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani