SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MAXMILIAN NGUBE

Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Maxmilian John Ngube likiwa kwenye viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam mchana wa leo tayari kwa shughuli ya kuagwa na kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni.Max Ngobe alifariki Dunia mwishoni mwa wiki iliyopita kutoka na maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.
Risala fupi ikisomwa wakati wa Shughuli hiyo na Kuangwa kwa Marehemu Max Ngobe mmoja wa wanahabari wakongwe Tanzania.
Wanahabari wakirekodi tukio la kuaga Mwili wa Marehemu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA
11 years ago
Michuzi18 May
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Safari ya mwisho ya marehemu Adam kuambiana ilivyokuwa leo viwanja vya leaders Dar es salaam
Pumzika kwa Amani Adam Kuambiana.
11 years ago
Michuzi
SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI WA FILAMU,MAREHEMU ADAM KUAMBIANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB HIVI SASA





BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi
Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki Banza Stone

11 years ago
Mwananchi25 Mar
Kufeli mitihani si mwisho wa safari, jipange
11 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA KENNETH KIDAGO LYANGA
11 years ago
Dewji Blog18 May
Safari ya mwisho ya Mwanasheria Luke Seyayi
Mchungaji wa kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.
Shemeji yake Marehemu Judith Mtania (katikati)akilia kwa uchungu.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za...