SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI WA FILAMU,MAREHEMU ADAM KUAMBIANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-My0S3tqDnI4/U3sjtYunuhI/AAAAAAAFjyA/oOwNqUTA678/s72-c/IMG_8072.jpg)
Shughuli ya kuaga mwili wa aliekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini,Marehemu Adam Kuambiana inaendelea hivi sasa kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.Marehemu kuambiana anatarajiwa kuzikwa leo hii kwenye Makaburi ya Kinondoni hapa hapa jijini Dar.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Safari ya mwisho ya marehemu Adam kuambiana ilivyokuwa leo viwanja vya leaders Dar es salaam
Pumzika kwa Amani Adam Kuambiana.
11 years ago
GPLMAMIA WAMUAGA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBxm7gnAptMQILGCygI*3lK2CRjWH-jPcQ7Z0q2PoWEf1hDf8G97bDd*Te2RETwzjB7H8zJrx2AR-A3OMbku*re/LEADERS1.jpg?width=650)
MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DfhVqTTYhlI/VSe-V7K58QI/AAAAAAAHQGw/H-jHr-OcU80/s72-c/Nyamachoma-blog-poster-Dar.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBD1iMIQhg8c220WEX4inmmR08BScEAm9bs8JaHOuwAv7QWDSXeb99sTUMQ2BHiPlZwMPtvAhpLCmavm1VMyhYl3/IMG20140520WA0010.jpg?width=650)
MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
11 years ago
CloudsFM04 Jun
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
JB Afunguka Haya Kuhusu Marehemu Adam Kuambiana na Ujio wa Filamu Mpya
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram staa wa Bongo Movies , Jacob Stephen ‘JB’ ameendelea kusifia kipaji cha sanaa alichokuwanacho marehenu Adam Kuambiana ambaye atakuwepo kwenye filamu mpya itakayotoka wiki ijayo inayokwenda kwa jina la mahabusi aliyoicheza kabla ya kufariki dunia.
“Moja kati ya waigizaji ambao sitaacha kuwasifia ingawa tayari ametangulia mbele za haki....Adam Kuambiana....ana sauti, ana hisia na anajua....Yeye pamoja na dada mmoja anayeitwa Bridgete. aliyewahi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamasha la magari kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club
Afisa Fedha Mkuu wa Milembe Insurance Bw. Dioniz Diocles akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy akiongea na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September,...