Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAHABARI,EDSON KAMUKARA ALIPOAGWA RASMI KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB,KINONDONI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mamia wajitokeza viwanja vya Leaders Club Jijini Dar kumuaga Mhariri Edson Kamukara

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam jana asubuhi, kwa ajili ya kuagwa. Kamukara alifariki dunia juzi na mazishi yake yanatarajia kufanyika nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Reginald Mengi (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Wilibrod Slaa kwenye...

 

10 years ago

GPL

MAMIA WAJITOKEZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUMUAGA MHARIRI EDSON KAMUKARA

 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo asubuhi, kwa ajili ya kuagwa. Kamukara alifariki dunia juzi na mazishi yake yanatarajia kufanyika nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera.…

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA CHADEMA WALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA MWANAHABARI EDSON KAMUKARA

Jeneza lililobeba mwili wa mwanahabari Edson Kamukara likiwa limewekwa tayari kwa kutoa heshima za mwisho na kwenda kuzikwaMwenyekiti wa CHAHDEMA Mh Freeman Mbowe akitoa salamu za mwisho kwa mwili wa marehemu Edson Kamukara katika viwanja vya Leaders Club.Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akitoa salamu za mwisho wakati wa kuaga mwili wa marehemu Edson Kamukara.Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akisalimiana na Mkurugenzi wa Hali Halisi Ndugu Said Kubenea wakati wa kuaga mwili wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la magari kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club

1

Afisa Fedha Mkuu wa Milembe Insurance Bw. Dioniz Diocles akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy.

2

Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy akiongea na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September,...

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI WA FILAMU,MAREHEMU ADAM KUAMBIANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB HIVI SASA

 Shughuli ya kuaga mwili wa aliekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini,Marehemu Adam Kuambiana inaendelea hivi sasa kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.Marehemu kuambiana anatarajiwa kuzikwa leo hii kwenye Makaburi ya Kinondoni hapa hapa jijini Dar.




BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

CloudsFM

Picha: Usaili wa kumtafuta mwigizaji wa filamu ya Zamaradi Mketema iitwayo ''MUKE YA MUZUNGU'' katika viwanja vya Leaders,Kinondoni

Mwigizaji Aunty Ezekiel akiwa na wasichana waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.Geah Habib akiwa na washiriki waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.Zamaradi Mketema akijadiliana kitu na Geaha Habib.

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI

_________MAREHEMU DONALD MAX___________

NA.

MUDA

TUKIO

MHUSIKA

MAHALI

1.

12:00 - 02:00

Familia kuandaa Mwili wa Marehemu

Familia

Nyumbani

2.

02:00 - 04:00

Taratibu za Kimila

Familia

Nyumbani

3.

04:00 - 05:00

Chai/Chakula

Familia

Nyumbani

4.

04:00 - 05:00

§  Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

Katibu wa Bunge

Karimjee



§  Viongozi wa Vyama vya Siasa,  Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao

...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani