MWANAHABARI,EDSON KAMUKARA ALIPOAGWA RASMI KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB,KINONDONI
![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Mamia wajitokeza viwanja vya Leaders Club Jijini Dar kumuaga Mhariri Edson Kamukara
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam jana asubuhi, kwa ajili ya kuagwa. Kamukara alifariki dunia juzi na mazishi yake yanatarajia kufanyika nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Reginald Mengi (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Wilibrod Slaa kwenye...
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUMUAGA MHARIRI EDSON KAMUKARA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-90iUIzHYH9A/VY87paXLcgI/AAAAAAAATA0/s5qXwoz9UxQ/s72-c/DSC_1127.jpg)
VIONGOZI WA CHADEMA WALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA MWANAHABARI EDSON KAMUKARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-90iUIzHYH9A/VY87paXLcgI/AAAAAAAATA0/s5qXwoz9UxQ/s640/DSC_1127.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ouFnZA1qqVM/VY87pe04STI/AAAAAAAATBQ/EVrCceInJrQ/s640/DSC_1192.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iG6fMoXw0lg/VY87pcBVdQI/AAAAAAAATA4/GgAC4sTWobU/s640/DSC_1193.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eVCObCbgUvw/VY87pl6ERLI/AAAAAAAATBA/Pwy67JTApDM/s640/IMG_7104.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DfhVqTTYhlI/VSe-V7K58QI/AAAAAAAHQGw/H-jHr-OcU80/s72-c/Nyamachoma-blog-poster-Dar.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamasha la magari kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club
Afisa Fedha Mkuu wa Milembe Insurance Bw. Dioniz Diocles akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy akiongea na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-My0S3tqDnI4/U3sjtYunuhI/AAAAAAAFjyA/oOwNqUTA678/s72-c/IMG_8072.jpg)
SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI WA FILAMU,MAREHEMU ADAM KUAMBIANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-My0S3tqDnI4/U3sjtYunuhI/AAAAAAAFjyA/oOwNqUTA678/s1600/IMG_8072.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OkiqMzCgUc4/U3sjtAjBRPI/AAAAAAAFjx8/cTa4i3e_NwU/s1600/IMG_8074.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nJnggoxS8Ds/U3sjwsAoQjI/AAAAAAAFjyM/SEWQf5QVQ5I/s1600/MMGN7447.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8kfVjt3PJ-k/U3sjyYnrRJI/AAAAAAAFjyg/6ra0-sZJJvI/s1600/IMG_8116.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pw9liJNC0rk/U3sj0a0ptHI/AAAAAAAFjys/n8ZXwKFoRzg/s1600/MMGN7393.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Picha: Usaili wa kumtafuta mwigizaji wa filamu ya Zamaradi Mketema iitwayo ''MUKE YA MUZUNGU'' katika viwanja vya Leaders,Kinondoni
Mwigizaji Aunty Ezekiel akiwa na wasichana waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.
Geah Habib akiwa na washiriki waliojitokeza kwenye usaili huo katika viwanja vya Leaders,Kinondoni,jijini Dar.
Zamaradi Mketema akijadiliana kitu na Geaha Habib.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s72-c/s.jpg)
RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s400/s.jpg)
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA MAHALI 1. 12:00 - 02:00 Familia kuandaa Mwili wa Marehemu Familia Nyumbani 2. 02:00 - 04:00 Taratibu za Kimila Familia Nyumbani 3. 04:00 - 05:00 Chai/Chakula Familia Nyumbani 4. 04:00 - 05:00 § Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee Katibu wa Bunge Karimjee
§ Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao ...