VIONGOZI WA CHADEMA WALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA MWANAHABARI EDSON KAMUKARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-90iUIzHYH9A/VY87paXLcgI/AAAAAAAATA0/s5qXwoz9UxQ/s72-c/DSC_1127.jpg)
Jeneza lililobeba mwili wa mwanahabari Edson Kamukara likiwa limewekwa tayari kwa kutoa heshima za mwisho na kwenda kuzikwa
Mwenyekiti wa CHAHDEMA Mh Freeman Mbowe akitoa salamu za mwisho kwa mwili wa marehemu Edson Kamukara katika viwanja vya Leaders Club.
Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akitoa salamu za mwisho wakati wa kuaga mwili wa marehemu Edson Kamukara.
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akisalimiana na Mkurugenzi wa Hali Halisi Ndugu Said Kubenea wakati wa kuaga mwili wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s72-c/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
mpiganaji Edson Kamukara afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s640/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
Mhariri wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na jiko la gesi, habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Polisi wameuchukua mwili wa marehemu na kwenda kuhifadhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa kifo chake.
Ofisa Uhusiano wa NMB, Viccent Mnyanyika akimkabidhi zawadi marehemu Edson Kamukara wakati wa uhai wake...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Salamu za rambirambi kutoka TGNP kufuatia kifo cha Edson Kamukara
Marehemu Edson Kamukara enzi za uhai wake.
Salamu Za Rambirambi Kutoka TGNP- Kifo Cha Kamukara
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MHARIRI WA KAMPUNI YA MWANAHALISI, EDSON KAMUKARA KIJIJINI AZIKWA BUKOBA
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Mamia wajitokeza viwanja vya Leaders Club Jijini Dar kumuaga Mhariri Edson Kamukara
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam jana asubuhi, kwa ajili ya kuagwa. Kamukara alifariki dunia juzi na mazishi yake yanatarajia kufanyika nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Reginald Mengi (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Wilibrod Slaa kwenye...
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUMUAGA MHARIRI EDSON KAMUKARA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ufqkcEoNgi8/U7WxoLXqORI/AAAAAAAAiVs/4_TZbXYL4wc/s72-c/1XX.jpg)
Mazishi ya Mwanahabari Nguli nchini, Mzee Nkwabi Ng’wanakilala
![](http://4.bp.blogspot.com/-ufqkcEoNgi8/U7WxoLXqORI/AAAAAAAAiVs/4_TZbXYL4wc/s1600/1XX.jpg)
Mwl. Ng’wanakilala, ambaye alikuwa Mhadhiri katika Idara ya Habari na Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT),...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Mwili wa mke wa mwanahabari Thobias Mwanakatwe waagwa Jijini Dar, mazishi kufanyika leo Karatu mkoani Arusha
Mhariri wa Gazeti la Nipashe, Jesse Kwayu (kushoto), na waombolezaji wengine wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mke wa mwanahabari wa Kampuni ya The Guardian, Thobias Mwanakatwe, Levina Genda wakati wakilipekeka kwenye gari tayari kwa safari ya kwenda Karatu mkoani Arusha kwa mazishi yatakayofanyika leo.
Mwanahabari wa Kampuni ya The Guardian Ltd, Thobias Mwanakatwe akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa mke wake, Levina Genda wakati wa ibada ya kumuaga iliyofanyika...