mpiganaji Edson Kamukara afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s72-c/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
Mhariri wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na jiko la gesi, habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Polisi wameuchukua mwili wa marehemu na kwenda kuhifadhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa kifo chake.
Ofisa Uhusiano wa NMB, Viccent Mnyanyika akimkabidhi zawadi marehemu Edson Kamukara wakati wa uhai wake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-90iUIzHYH9A/VY87paXLcgI/AAAAAAAATA0/s5qXwoz9UxQ/s72-c/DSC_1127.jpg)
VIONGOZI WA CHADEMA WALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA MWANAHABARI EDSON KAMUKARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-90iUIzHYH9A/VY87paXLcgI/AAAAAAAATA0/s5qXwoz9UxQ/s640/DSC_1127.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ouFnZA1qqVM/VY87pe04STI/AAAAAAAATBQ/EVrCceInJrQ/s640/DSC_1192.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iG6fMoXw0lg/VY87pcBVdQI/AAAAAAAATA4/GgAC4sTWobU/s640/DSC_1193.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eVCObCbgUvw/VY87pl6ERLI/AAAAAAAATBA/Pwy67JTApDM/s640/IMG_7104.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Salamu za rambirambi kutoka TGNP kufuatia kifo cha Edson Kamukara
Marehemu Edson Kamukara enzi za uhai wake.
Salamu Za Rambirambi Kutoka TGNP- Kifo Cha Kamukara
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MHARIRI WA KAMPUNI YA MWANAHALISI, EDSON KAMUKARA KIJIJINI AZIKWA BUKOBA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4LR6RmM8ovE/U3-TZYuIlBI/AAAAAAAFkok/zZp6Jgj92wo/s72-c/10354626_10203014554837177_7665346459191974104_n.jpg)
MPIGANAJI MAXIMILIAN NGUBE AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4LR6RmM8ovE/U3-TZYuIlBI/AAAAAAAFkok/zZp6Jgj92wo/s1600/10354626_10203014554837177_7665346459191974104_n.jpg)
MAREHEMU MAXIMILIAN AMBAYE ALIFAHAMIKA SANA KWA JINA LA PAPAA MAX,ALIKUWA NI MPIGA PICHA HODARI WA KITUO CHA TELEVISHENI CHA MLIMANI TV.
GLOBU YA JAMII IMEPOKEA TAARIFA ZA MSIBA HUU KWA MASIKITIKO MAKUBWA SANA NA TUNAMUOMBEA KWA MWENYEZIMUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAXIMILIAN NGUBE MAHALI PEMA PEPONI.
-AMIN.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u3R2A0Y8FfI/VUMr-rJ0LQI/AAAAAAAHUc0/9RTff25gsh8/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mpiganaji Kyaloeichi Oko Kessy afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-u3R2A0Y8FfI/VUMr-rJ0LQI/AAAAAAAHUc0/9RTff25gsh8/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
Mpwa wa marehemu Tumaini Msengi amesema hayo leo kuwa marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu kwa muda mrefu na amekuwa akitibiwa katika hospitali mbalimbali za jijini Dar es Salaam hadi jana ambapo mauti yalimkuta.
Kabla hajaanza kuugua Kessy alikuwa mwandishi wa kujitegemea akiandika zaidi uchambuzi na makala katika vyombo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Mamia wajitokeza viwanja vya Leaders Club Jijini Dar kumuaga Mhariri Edson Kamukara
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam jana asubuhi, kwa ajili ya kuagwa. Kamukara alifariki dunia juzi na mazishi yake yanatarajia kufanyika nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Reginald Mengi (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Wilibrod Slaa kwenye...
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUMUAGA MHARIRI EDSON KAMUKARA