Mpiganaji Kyaloeichi Oko Kessy afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-u3R2A0Y8FfI/VUMr-rJ0LQI/AAAAAAAHUc0/9RTff25gsh8/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mwandishi mkongwe wa habari, Kyaloeichi Oko Kessy (62) amefariki dunia usiku wa kuamkia jana nyumbani kwake Pugu jijini Dar es Salaam.
Mpwa wa marehemu Tumaini Msengi amesema hayo leo kuwa marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu kwa muda mrefu na amekuwa akitibiwa katika hospitali mbalimbali za jijini Dar es Salaam hadi jana ambapo mauti yalimkuta.
Kabla hajaanza kuugua Kessy alikuwa mwandishi wa kujitegemea akiandika zaidi uchambuzi na makala katika vyombo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4LR6RmM8ovE/U3-TZYuIlBI/AAAAAAAFkok/zZp6Jgj92wo/s72-c/10354626_10203014554837177_7665346459191974104_n.jpg)
MPIGANAJI MAXIMILIAN NGUBE AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4LR6RmM8ovE/U3-TZYuIlBI/AAAAAAAFkok/zZp6Jgj92wo/s1600/10354626_10203014554837177_7665346459191974104_n.jpg)
MAREHEMU MAXIMILIAN AMBAYE ALIFAHAMIKA SANA KWA JINA LA PAPAA MAX,ALIKUWA NI MPIGA PICHA HODARI WA KITUO CHA TELEVISHENI CHA MLIMANI TV.
GLOBU YA JAMII IMEPOKEA TAARIFA ZA MSIBA HUU KWA MASIKITIKO MAKUBWA SANA NA TUNAMUOMBEA KWA MWENYEZIMUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAXIMILIAN NGUBE MAHALI PEMA PEPONI.
-AMIN.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s72-c/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
mpiganaji Edson Kamukara afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s640/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
Mhariri wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na jiko la gesi, habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Polisi wameuchukua mwili wa marehemu na kwenda kuhifadhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa kifo chake.
Ofisa Uhusiano wa NMB, Viccent Mnyanyika akimkabidhi zawadi marehemu Edson Kamukara wakati wa uhai wake...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s72-c/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
MPIGANAJI HENRY LYIMO (KIPESE) WA MOSHI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s1600/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
TASNIA ya Habari na michezo mkoani Kilimanjaro imepata pigo kufuatia kifo cha ghafla cha Mtangazaji wa kituo cha radio cha Moshi FM Henry Lyimo, maarufu kama Kipese. Marehemu Kipese amefariki dunia usiku wa jana akiwa njiani akitokea Rombo katika eneo la njia Panda, Himo, baada ya pikipiki aliyokuwa akitumia kugongana na pikipiki nyingine.
Taarifa za awali zinasema Marehemu Kipese alikuwa akitokea wilayani Rombo ambako amekuwa...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Y-P WA TMK AFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...
10 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.