Mbunge afariki dunia
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepata pigo lingine kwa kuondokewa na Mbunge wa Chalinze (CCM), Said Bwanamdogo, ambaye amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Mbunge Ukonga afariki dunia
10 years ago
Habarileo03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia
MBUNGE wa jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (CCM) amefariki dunia nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Mbunge afariki dunia Dodoma
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini
NA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Mbunge wa Geita afariki dunia Muhimbili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qcf-Qdfo7jdjX5Axwu0fMvAnOsTVJqgPC*SXkpdF94l-AP1CPYl80teIFr-ziSCTpVcmDeDKO-j4bX*V8ekd3sw/13.gif)
MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uEH2J4Zb3OPOrIs1ov5ED7STaDrOYdZPqJ*Z0TubmsPbWWW4c*WRwxF7qcalEJmxGNV7GsVaXBFVf8wvoZRlOc/BREAKING.gif)
MBUNGE WA UKONGA, EUGENE MWAIPOSA AFARIKI DUNIA
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA
![](http://api.ning.com/files/rWr07F5d70umBcBxylsvxnPfeJ6XW3aCsWsj4epKHXuWinWxskbuzfvxFz8dWiMx1nM7EvgtfRwQIwmpW8W2vaLVqoJ5-gSQ/mwaiposa.jpg)
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83uvJ*fLSFMdch32T7mlshLe1tHdIIoCCUn4egK-71N5qC7nKcysqpHoP-yjkwMWs7DSLvsCi0b3Ccjy6Sy2pvZT/BREAKING.gif)
MBUNGE WA JIMBO LA GEITA, DONALD MAX AFARIKI DUNIA