MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA

Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo enzi za uhai wake. Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo (CCM), aliyekuwa amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa (MOI), amefariki…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia

Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.
10 years ago
Michuzi
news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia

11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Mbunge Ukonga afariki dunia
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Mbunge afariki dunia Dodoma
10 years ago
Habarileo03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia
MBUNGE wa jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (CCM) amefariki dunia nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini.
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Mbunge wa Geita afariki dunia Muhimbili
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini
NA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...