news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Geita (CCM) Mheshimiwa Donald Kevin Max (58)(picha) amefariki dunia. Kufuatia taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda (Mb) kwa Waheshimiwa Wabunge wote pamoja na umma kwa ujumla, Mhe. Max amefariki dunia tarehe 23 Juni, 2015 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa hii, taarifa zaidi juu ya msiba huu zitaendelea kutolewa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MBUNGE WA JIMBO LA GEITA, DONALD MAX AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL
MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI
11 years ago
Michuzi
News alert: Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia


10 years ago
Michuzi
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM


10 years ago
Mwananchi24 Jun
Mbunge wa Geita afariki dunia Muhimbili
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: MAALIM MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA

NGULI WA MUZIKI WA DANSI HAPA NCHINI NA ALIEKUWA KIONGOZI WA BENDI YA MSONDO NGOMA,MAALIM MUHIDIN GURUMO AMEFARIKI DUNIA MCHANA WA LEO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI ALIKOKUWA AMELAZWA KWA MATIBABU.
MAALIM GURUMO AMEFIKWA NA MAUTI HAYO BAADA YA KUSUMBULIWA NA MARADHI KWA KIPINDI KIREFU,HALI ILIYOMPELEKEA KUSHINDWA KABISA KUONEKANA TENA JUKWAANI.
MSIBA UPO NYUMBANI KWA MAREHEMU TABATA MAKUBURI NA MIPANGO YOTE ITAFANYIKA HAPO.
GLOBU YA...
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: Jaji Lewis Makame afariki Dunia

taarifa kamili itakuja baadae.
5 years ago
Michuzi
NEWZ ALERT: MBUNGE WA JIMBO LA SUMVE RICHARD NDASA AFARIKI DUNIA
