MBUNGE WA JIMBO LA GEITA, DONALD MAX AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83uvJ*fLSFMdch32T7mlshLe1tHdIIoCCUn4egK-71N5qC7nKcysqpHoP-yjkwMWs7DSLvsCi0b3Ccjy6Sy2pvZT/BREAKING.gif)
MBUNGE wa Jimbo la Geita, Donald Max amefariki dunia leo jioni akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Katibu wa Bunge, Thomas Kashilila amethibitisha taarifa za kifo hicho na kuongeza kuwa taarifa zaidi zitatolewa kesho Juni 24, 2015.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s72-c/SS.png)
news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s640/SS.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83t9vQg16hKEGVw6oN0tDyA7cFNBIer-t0uaU3dIQd3RHBuE66FYCtXbnKXFZcfH6Z9qjkX242ufGRVbUHCtou2T/donald.jpg)
MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI
Donald Kevin Max (58) enzi za uhai wake. Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini (CCM), Donald Kevin Max (58) anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumamosi ya Juni 27, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Marehemu Max enzi za uhai wake akiwa na Beno Malisa (kulia). Akitangaza taarifa za msiba huo, mapema leo asubuhi bungeni mjini Dodoma, Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema wamepokea taarifa hizo kwa masikitiko, ambapo mbunge huyo alifariki jana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s72-c/m2.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s640/m2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-iDEtuajMc/VY8_o42eVmI/AAAAAAAHk0M/FF3sqYXuUME/s640/m3.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Mbunge wa Geita afariki dunia Muhimbili
Mbunge wa Geita (CCM), Donald Max (58) amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max
Uliwaahidi wakazi wa Kijiji cha Nyantorotoro, Geita maji baada ya kuwaona wanateseka kwa kunywa maji ya chumvi na meupe kama maziwa, lakini mpaka leo bado wanateseka.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-crKEZLTdSUc/U7LjVoOpaLI/AAAAAAAFt9M/pHSnadEDqus/s72-c/D92A4694.jpg)
Rais Kikwete awajulia hali Mzee Hashim Mbita na Mbunge Donald Max
![](http://4.bp.blogspot.com/-crKEZLTdSUc/U7LjVoOpaLI/AAAAAAAFt9M/pHSnadEDqus/s1600/D92A4694.jpg)
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA
![](http://api.ning.com/files/rWr07F5d70umBcBxylsvxnPfeJ6XW3aCsWsj4epKHXuWinWxskbuzfvxFz8dWiMx1nM7EvgtfRwQIwmpW8W2vaLVqoJ5-gSQ/mwaiposa.jpg)
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NEWZ ALERT: MBUNGE WA JIMBO LA SUMVE RICHARD NDASA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepata pigo lingine kwa kuondokewa na Mbunge wa Chalinze (CCM), Said Bwanamdogo, ambaye amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania