Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI

Donald Kevin Max (58) enzi za uhai wake. Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini (CCM), Donald Kevin Max (58) anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumamosi ya Juni 27, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Marehemu Max enzi za uhai wake akiwa na Beno Malisa (kulia). Akitangaza taarifa za msiba huo, mapema leo asubuhi bungeni mjini Dodoma, Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema wamepokea taarifa hizo kwa masikitiko, ambapo mbunge huyo alifariki jana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBUNGE WA JIMBO LA GEITA, DONALD MAX AFARIKI DUNIA

MBUNGE wa Jimbo la Geita, Donald Max amefariki dunia leo jioni akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Katibu wa Bunge, Thomas Kashilila amethibitisha taarifa za kifo hicho na kuongeza kuwa taarifa zaidi zitatolewa kesho Juni 24, 2015.

 

10 years ago

Michuzi

news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Geita (CCM) Mheshimiwa Donald Kevin Max (58)(picha) amefariki dunia. Kufuatia taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda (Mb) kwa Waheshimiwa Wabunge wote pamoja na umma kwa ujumla,  Mhe. Max amefariki dunia tarehe 23 Juni, 2015 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa hii, taarifa zaidi juu ya msiba huu zitaendelea kutolewa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Geita, kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, marehemu Donald Kelvin Max, wakati wa shughuli za kuaga mwili zilizofanyika  Jumamosi  kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es SalaamMama Salma  Kikwete akisaini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Geita, kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, marehemu Donald Kelvin Max, wakati wa shughuli za kuaga mwili zilizofanyika  Jumamosi  kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max

Uliwaahidi wakazi wa Kijiji cha Nyantorotoro, Geita maji baada ya kuwaona wanateseka kwa kunywa maji ya chumvi na meupe kama maziwa, lakini mpaka leo bado wanateseka.

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awajulia hali Mzee Hashim Mbita na Mbunge Donald Max

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mbunge wa Geita Donald Max aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo jioni.Rais Kikwete akiwa hospitalini hapo alimjulia hali pia Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyelazwa hospitalini hapo(picha na Freddy Maro).

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI

_________MAREHEMU DONALD MAX___________

NA.

MUDA

TUKIO

MHUSIKA

MAHALI

1.

12:00 - 02:00

Familia kuandaa Mwili wa Marehemu

Familia

Nyumbani

2.

02:00 - 04:00

Taratibu za Kimila

Familia

Nyumbani

3.

04:00 - 05:00

Chai/Chakula

Familia

Nyumbani

4.

04:00 - 05:00

§  Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

Katibu wa Bunge

Karimjee



§  Viongozi wa Vyama vya Siasa,  Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao

...

 

10 years ago

IPPmedia

Geita MP Max to be laid to rest on Saturday in Dar


Geita MP Max to be laid to rest on Saturday in Dar
IPPmedia
Member of Parliament for Geita (CCM) Donald Max (58) who was pronounced dead on Tuesday evening will be buried in Dar es Salaam on Saturday this week. Making the announcement ahead of adjourning the National Assembly yesterday in the capital, ...
Late MP Max for Burial SaturdayAllAfrica.com

all 4

 

11 years ago

Mwananchi

Kazaura kuzikwa Jumamosi

 Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura (74) umewasili nchini jana ukitokea Chenai, India alikokwenda kwa matibabu ya saratani.

 

10 years ago

GPL

JAJI LEWIS MAKAME KUZIKWA PONGWE, TANGA JUMAMOSI

Marehemu Jaji Mstaafu  Lewis Makame enzi za uhai wake.
Nyumbani kwa marehemu eneo la Masaki, Dar es Salaam.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani