MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI
![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83t9vQg16hKEGVw6oN0tDyA7cFNBIer-t0uaU3dIQd3RHBuE66FYCtXbnKXFZcfH6Z9qjkX242ufGRVbUHCtou2T/donald.jpg)
Donald Kevin Max (58) enzi za uhai wake. Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini (CCM), Donald Kevin Max (58) anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumamosi ya Juni 27, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Marehemu Max enzi za uhai wake akiwa na Beno Malisa (kulia). Akitangaza taarifa za msiba huo, mapema leo asubuhi bungeni mjini Dodoma, Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema wamepokea taarifa hizo kwa masikitiko, ambapo mbunge huyo alifariki jana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83uvJ*fLSFMdch32T7mlshLe1tHdIIoCCUn4egK-71N5qC7nKcysqpHoP-yjkwMWs7DSLvsCi0b3Ccjy6Sy2pvZT/BREAKING.gif)
MBUNGE WA JIMBO LA GEITA, DONALD MAX AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s72-c/SS.png)
news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s640/SS.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s72-c/m2.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s640/m2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-iDEtuajMc/VY8_o42eVmI/AAAAAAAHk0M/FF3sqYXuUME/s640/m3.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-crKEZLTdSUc/U7LjVoOpaLI/AAAAAAAFt9M/pHSnadEDqus/s72-c/D92A4694.jpg)
Rais Kikwete awajulia hali Mzee Hashim Mbita na Mbunge Donald Max
![](http://4.bp.blogspot.com/-crKEZLTdSUc/U7LjVoOpaLI/AAAAAAAFt9M/pHSnadEDqus/s1600/D92A4694.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s72-c/s.jpg)
RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s400/s.jpg)
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA MAHALI 1. 12:00 - 02:00 Familia kuandaa Mwili wa Marehemu Familia Nyumbani 2. 02:00 - 04:00 Taratibu za Kimila Familia Nyumbani 3. 04:00 - 05:00 Chai/Chakula Familia Nyumbani 4. 04:00 - 05:00 § Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee Katibu wa Bunge Karimjee
§ Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao ...
10 years ago
IPPmedia25 Jun
Geita MP Max to be laid to rest on Saturday in Dar
IPPmedia
Member of Parliament for Geita (CCM) Donald Max (58) who was pronounced dead on Tuesday evening will be buried in Dar es Salaam on Saturday this week. Making the announcement ahead of adjourning the National Assembly yesterday in the capital, ...
Late MP Max for Burial SaturdayAllAfrica.com
all 4
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kazaura kuzikwa Jumamosi
10 years ago
GPLJAJI LEWIS MAKAME KUZIKWA PONGWE, TANGA JUMAMOSI