Mbunge wa Geita afariki dunia Muhimbili
Mbunge wa Geita (CCM), Donald Max (58) amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83uvJ*fLSFMdch32T7mlshLe1tHdIIoCCUn4egK-71N5qC7nKcysqpHoP-yjkwMWs7DSLvsCi0b3Ccjy6Sy2pvZT/BREAKING.gif)
MBUNGE WA JIMBO LA GEITA, DONALD MAX AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s72-c/SS.png)
news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s640/SS.png)
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Mbunge Ukonga afariki dunia
10 years ago
Habarileo03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia
MBUNGE wa jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (CCM) amefariki dunia nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Mbunge afariki dunia Dodoma
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili
Che Mundugwao enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao alifariki mchana wa leo.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa hapo baadae..ENDELEA...
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini
NA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qcf-Qdfo7jdjX5Axwu0fMvAnOsTVJqgPC*SXkpdF94l-AP1CPYl80teIFr-ziSCTpVcmDeDKO-j4bX*V8ekd3sw/13.gif)
MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA