Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA

Waombelezaji wakitoka msikitini tayari kwa kwenda kwenye maziko. Mwili wa marehemu Amina Ngaluma ukishushwa tayari kuingia kaburini kwa maziko, Machimbo Mnarani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MAREHEMU AMINA NGALUMA WAWASILI DAR

Mwili  wa mwanamuziki Amina Ngaluma ukipokelewa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere ukitokea Thailand alipofia. Jeneza lenye mwili wa  Amina Ngaluma likiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa kwa mumewe Kitunda.…

 

11 years ago

Michuzi

Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar

Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO ZA MAREHEMU MUHIDIN GURUMO

Picha kwa hisani ya…

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MAXMILIAN NGUBE

Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Maxmilian John Ngube likiwa kwenye viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam mchana wa leo tayari kwa shughuli ya kuagwa na kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni.Max Ngobe alifariki Dunia mwishoni mwa wiki iliyopita kutoka na maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.
Risala fupi ikisomwa wakati wa Shughuli hiyo na Kuangwa kwa Marehemu Max Ngobe mmoja wa wanahabari wakongwe Tanzania.
Wanahabari wakirekodi tukio la kuaga Mwili wa Marehemu...

 

11 years ago

GPL

MSIBA WA AMINA NGALUMA

waombelezaji mbalimbali wakiwasili msibani. waombelezaji (wakinamama) wakiwa katika majonzi.…

 

11 years ago

GPL

SIMANZI MAZISHI YA AMINA NGALUMA

Stori: WAANDISHI WETU Vilio! Majonzi na simanzi vimetawala kwenye mazishi ya aliyekuwa mwimbaji wa dansi Bongo, Amina Ngaluma ‘Japanese’ (41) aliyefariki dunia Mei 15, mwaka huu huko nchini Thailand. Mama mzazi wa Amina Nguluma akilia kwa uchungu usiku wa kupokea mwili wa Marehemu Amina Nguluma kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar. Mwanamuziki huyo wa siku nyingi ambaye alifariki dunia baada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Buriani Amina Ngaluma, Adam Kuambiana

WIKI hii imekuwa ni ya majonzi na simanzi kwa wapenzi na mashabiki wa masuala ya burudani, baada ya kuwapoteza nguli wake wake Amina Ngaluma na Adam Kuambiana ambao hatunao tena...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA AMINA NGALUMA WAWASILI DAR

Amina Ngaluma 'Japanese' enzi za uhai wake. MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ umewasili jijini Dar es Salaam usiku huu. Nyota huyo wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African Revolution 'Wana Tamtam', mpaka mauti yanamfika alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Jambo Survivors. Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani