Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA AMINA NGALUMA WAWASILI DAR

Amina Ngaluma 'Japanese' enzi za uhai wake. MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ umewasili jijini Dar es Salaam usiku huu. Nyota huyo wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African Revolution 'Wana Tamtam', mpaka mauti yanamfika alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Jambo Survivors. Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MAREHEMU AMINA NGALUMA WAWASILI DAR

Mwili  wa mwanamuziki Amina Ngaluma ukipokelewa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere ukitokea Thailand alipofia. Jeneza lenye mwili wa  Amina Ngaluma likiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa kwa mumewe Kitunda.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA AMINA NGALUMA ULIVYOPOKELEWA JIJINI DAR

Mwili wa mwimbaji Amina Ngaluma aliyefariki akiwa nchini Thailand ukipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar usiku wa Mei 23, 2014.

 

11 years ago

GPL

MWILI WA AMINA NGALUMA KUWASILI DAR IJUMAA HII

Mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita huko Thailand, Amina Ngaluma. Na Mwandishi Wetu
MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ unatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Ijumaa wiki hii. Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid Sumuni tayari taratibu muhimu kuhusiana na kuuleta mwili huo nyumbani zimefanyika na wana amini mambo yataenda kama...

 

10 years ago

Michuzi

Kumbukumbu ya Amina Ngaluma J’mosi Dar

 KISOMO cha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam. Akizungumza baba mzazi wa marehemu,  Kassim Ngaluma, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehemu na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali wa marehemu wakati wa uhai wake wahudhurie. “Tunaomba wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa marehemu mwanangu,...

 

10 years ago

Michuzi

Kumbukumbu ya Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar

Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, baba mzazi wa marehemu,  Kassim Ngaluma, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehemu na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali wa marehemu wakati wa uhai wake wahudhurie.
“Tunaomba wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa...

 

11 years ago

Michuzi

Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar

Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...

 

11 years ago

Michuzi

Mwili wa Ngaluma kuletwa Dar Ijumaa

MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ unatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Ijumaa wiki hii.
Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid Sumuni tayari taratibu muhimu kuhusiana na kuuleta mwili huo nyumbani zimefanyika na wana amini mambo yataenda kama wanavyotarajia.
“Naomba niwajulishe kuwa mwili wa mke wangu utaondoka Thailand Alhamisi wiki hii kwa ndege ya KLM na utawasili Dar es Salaam siku inayofuata saa tatu...

 

11 years ago

GPL

MSIBA WA AMINA NGALUMA

waombelezaji mbalimbali wakiwasili msibani. waombelezaji (wakinamama) wakiwa katika majonzi.…

 

11 years ago

GPL

SIMANZI MAZISHI YA AMINA NGALUMA

Stori: WAANDISHI WETU Vilio! Majonzi na simanzi vimetawala kwenye mazishi ya aliyekuwa mwimbaji wa dansi Bongo, Amina Ngaluma ‘Japanese’ (41) aliyefariki dunia Mei 15, mwaka huu huko nchini Thailand. Mama mzazi wa Amina Nguluma akilia kwa uchungu usiku wa kupokea mwili wa Marehemu Amina Nguluma kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar. Mwanamuziki huyo wa siku nyingi ambaye alifariki dunia baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani