MWILI WA MAREHEMU AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
Mwili wa mwanamuziki Amina Ngaluma ukipokelewa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere ukitokea Thailand alipofia. Jeneza lenye mwili wa Amina Ngaluma likiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa kwa mumewe Kitunda.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MWILI WA AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
Amina Ngaluma 'Japanese' enzi za uhai wake. MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ umewasili jijini Dar es Salaam usiku huu. Nyota huyo wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African Revolution 'Wana Tamtam', mpaka mauti yanamfika alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Jambo Survivors. Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid...
11 years ago
GPL25 May
MWILI WA AMINA NGALUMA ULIVYOPOKELEWA JIJINI DAR
Mwili wa mwimbaji Amina Ngaluma aliyefariki akiwa nchini Thailand ukipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar usiku wa Mei 23, 2014.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/JHS5fnHuLYkbSO3gLQNYaXA2gYVBny3D*BeNHqsCK-K2DSGl8zQeKSEvORjocaT26eEDVvyHnKfpXoOWaf-QVTyUdJF7ngg4/Ngaluma.jpg?width=650)
MWILI WA AMINA NGALUMA KUWASILI DAR IJUMAA HII
Mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita huko Thailand, Amina Ngaluma. Na Mwandishi Wetu
MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ unatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Ijumaa wiki hii. Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid Sumuni tayari taratibu muhimu kuhusiana na kuuleta mwili huo nyumbani zimefanyika na wana amini mambo yataenda kama...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tPlKaE183k0/U7PMBB3dOAI/AAAAAAAFuLU/ldlCoD-rqDE/s72-c/AMINA+NGALUMA.jpg)
Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-tPlKaE183k0/U7PMBB3dOAI/AAAAAAAFuLU/ldlCoD-rqDE/s1600/AMINA+NGALUMA.jpg)
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVVjnwxIgTDAQVFmMHSjCh0*BCUlGLA*RmbsISBczKZKbwQ9yrIiiHZlgFucnT-VUGbAQOow*tu0BKEd3pXobyWj/IMG20140524WA0013.jpg?width=650)
SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA
Waombelezaji wakitoka msikitini tayari kwa kwenda kwenye maziko. Mwili wa marehemu Amina Ngaluma ukishushwa tayari kuingia kaburini kwa maziko, Machimbo Mnarani.…
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM LEO JIONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1YSTjE2uYY4/VgaccYu7yzI/AAAAAAAH7S4/g_PshX6dQzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s320/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LD6do1-NNUk/VVNV710k-tI/AAAAAAAC4Wg/4jv-io37bww/s72-c/aminangaluma2%2B(1).jpg)
Kumbukumbu ya Amina Ngaluma J’mosi Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-LD6do1-NNUk/VVNV710k-tI/AAAAAAAC4Wg/4jv-io37bww/s320/aminangaluma2%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94hI2zL5kl8/VVNqym6XvXI/AAAAAAAHXE4/Czy0k1uwwcw/s72-c/IMG-20140515-WA0025.jpg)
Kumbukumbu ya Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-94hI2zL5kl8/VVNqym6XvXI/AAAAAAAHXE4/Czy0k1uwwcw/s400/IMG-20140515-WA0025.jpg)
KISOMO cha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, baba mzazi wa marehemu, Kassim Ngaluma, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehemu na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali wa marehemu wakati wa uhai wake wahudhurie.
“Tunaomba wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania