Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-tPlKaE183k0/U7PMBB3dOAI/AAAAAAAFuLU/ldlCoD-rqDE/s72-c/AMINA+NGALUMA.jpg)
Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94hI2zL5kl8/VVNqym6XvXI/AAAAAAAHXE4/Czy0k1uwwcw/s72-c/IMG-20140515-WA0025.jpg)
Kumbukumbu ya Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-94hI2zL5kl8/VVNqym6XvXI/AAAAAAAHXE4/Czy0k1uwwcw/s400/IMG-20140515-WA0025.jpg)
KISOMO cha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, baba mzazi wa marehemu, Kassim Ngaluma, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehemu na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali wa marehemu wakati wa uhai wake wahudhurie.
“Tunaomba wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa...
11 years ago
GPLMWILI WA MAREHEMU AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
11 years ago
GPL25 May
MWILI WA AMINA NGALUMA ULIVYOPOKELEWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVVjnwxIgTDAQVFmMHSjCh0*BCUlGLA*RmbsISBczKZKbwQ9yrIiiHZlgFucnT-VUGbAQOow*tu0BKEd3pXobyWj/IMG20140524WA0013.jpg?width=650)
SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU AMINA NGALUMA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LD6do1-NNUk/VVNV710k-tI/AAAAAAAC4Wg/4jv-io37bww/s72-c/aminangaluma2%2B(1).jpg)
Kumbukumbu ya Amina Ngaluma J’mosi Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-LD6do1-NNUk/VVNV710k-tI/AAAAAAAC4Wg/4jv-io37bww/s320/aminangaluma2%2B(1).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MWILI WA AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/JHS5fnHuLYkbSO3gLQNYaXA2gYVBny3D*BeNHqsCK-K2DSGl8zQeKSEvORjocaT26eEDVvyHnKfpXoOWaf-QVTyUdJF7ngg4/Ngaluma.jpg?width=650)
MWILI WA AMINA NGALUMA KUWASILI DAR IJUMAA HII
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar
Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.
Akizingumza na...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Freconic...