Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Buriani MWANASHERIA LUKE SEYAYI

 Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni jijini Dar es salaam.  Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni. Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni.   Familia ya Seyayi Mama mzazi (watatu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Safari ya mwisho ya Mwanasheria Luke Seyayi

005 SAFARI

Mchungaji wa kanisa la AIC  la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.

004 SAFARI

Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.

002 SAFARI

Shemeji yake Marehemu Judith Mtania (katikati)akilia kwa uchungu.

003 SAFARI

Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni.

006 SAFARI

Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za...

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA MWANASHERIA LUKE SEYAYI‏

Mchungaji wa Kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za mwisho.…

 

10 years ago

Michuzi

BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI

Oktoba  14,  mwaka jana  Uwakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa  uliandaa hafla ya kwanza ya aina yake ya kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa  Mwalimu Julius   kambarage Nyerere.  Hafla hiyo ilihudhuriwa na  Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao hapa  Umoja wa  Mataifa na wageni mbalimbali. Ni hafla iliyoambatana na uzinduzi wa kitabu kinachomhusu Baba wa Taifa. Kitabu hicho   kiliandikwa kwa ufundi mkubwa na Profesa Ali Mazrui   kwa kushirikiana...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...

 

9 years ago

BBCSwahili

Luke Shaw kufanyiwa upasuaji

Mlinzi wa kushoto wa Man United Luke Shaw atafanyiwa upasuaji wa pili leo

 

10 years ago

Vijimambo

TONIGHT AT AFRICAN FUSION WITH DJ LUKE JOE


Tonight at Africa Fusion hip hop, Genge, UG, Bongo Flava, Ragga, old school, Kwaito, Naija music by Dj Luke all the way from Washington, DC from 8PM to 2AM Add 18900 Dallas Pkwy #120, Dallas, TX 75287 Dress to Impress, No Cover Charge

 

10 years ago

BBC News

Norwich schoolboy Luke Carter in Tanzania mission


BBC News
Norwich schoolboy Luke Carter in Tanzania mission
BBC News
A 13-year-old schoolboy who saw children attending lessons in the open air in Tanzania has raised thousands of pounds to help them. Luke Carter, from Norfolk, went with his mother to see family in Tanzania and came back with the aim of helping the school ...
Norwich schoolboy Luke, 13, on a mission to help lives of people in need in ...Norfolk Eastern Daily Press

all 2

 

9 years ago

Africanjam.Com

LUKE SHAW TO RETURN TO MANCHESTER AFTER TWO OPERATIONS IN EINDHOVEN

Manchester United defender Luke Shaw will leave hospital in Eindhoven and fly back to England on Saturday after two operations on his double leg fracture.The 20-year-old underwent surgery for a second time on Friday to close the wound suffered in the first half of the 2-1 Champions League defeat at PSV on Tuesday night and staff at St Anna Ziekenhuis Hospital are happy the left-back can return to United to continue his recovery.
Shaw posted three photos on his Instagram account on Saturday...

 

10 years ago

Michuzi

PATA MISHUMAA YA KALE na DJ LUKE na MUBELWA BANDIO from Washington DC

Jiunge na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio katika kipindi cha MISHUMAA YA KALE.Kipindi kinachotusikiliza nyimbo nyingi za miaka iliyopita na habari juu yazo Jiunge nasi 5:00pm EST kupitia www.kwanzaproduction.com ama www.vijimamboradio.com ama bordermediagroup.com.Kama una TuneIn app, ingia http://tun.in/sfdl0Kwa mlio Marekani na Canada, tusikilize kwa kupiga simu 716 748 0086

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani