Buriani MWANASHERIA LUKE SEYAYI
![](http://3.bp.blogspot.com/-06xoYZmeffo/U3j5IuLCetI/AAAAAAAFjj0/tQ6uafL_Twc/s72-c/unnamed+(37).jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni jijini Dar es salaam.
Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni.
Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni.
Familia ya Seyayi Mama mzazi (watatu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 May
Safari ya mwisho ya Mwanasheria Luke Seyayi
Mchungaji wa kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.
Shemeji yake Marehemu Judith Mtania (katikati)akilia kwa uchungu.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za...
11 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA MWANASHERIA LUKE SEYAYI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s72-c/unnamed.jpg)
BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Luke Shaw kufanyiwa upasuaji
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BJuEa-2_AK0/VZb72iZUMAI/AAAAAAADvYk/IEGv-7fbwhA/s72-c/be1aabf7e94117f776a57f20a8922658.jpg)
TONIGHT AT AFRICAN FUSION WITH DJ LUKE JOE
![](http://4.bp.blogspot.com/-BJuEa-2_AK0/VZb72iZUMAI/AAAAAAADvYk/IEGv-7fbwhA/s640/be1aabf7e94117f776a57f20a8922658.jpg)
Tonight at Africa Fusion hip hop, Genge, UG, Bongo Flava, Ragga, old school, Kwaito, Naija music by Dj Luke all the way from Washington, DC from 8PM to 2AM Add 18900 Dallas Pkwy #120, Dallas, TX 75287 Dress to Impress, No Cover Charge
10 years ago
BBC News22 Dec
Norwich schoolboy Luke Carter in Tanzania mission
BBC News
BBC News
A 13-year-old schoolboy who saw children attending lessons in the open air in Tanzania has raised thousands of pounds to help them. Luke Carter, from Norfolk, went with his mother to see family in Tanzania and came back with the aim of helping the school ...
Norwich schoolboy Luke, 13, on a mission to help lives of people in need in ...Norfolk Eastern Daily Press
all 2
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-j57Err3hoEg/Vf051fzkWAI/AAAAAAAADiI/2Us06zwFyVo/s72-c/Luke-Shaw-605847.jpg)
LUKE SHAW TO RETURN TO MANCHESTER AFTER TWO OPERATIONS IN EINDHOVEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-j57Err3hoEg/Vf051fzkWAI/AAAAAAAADiI/2Us06zwFyVo/s1600/Luke-Shaw-605847.jpg)
Shaw posted three photos on his Instagram account on Saturday...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
PATA MISHUMAA YA KALE na DJ LUKE na MUBELWA BANDIO from Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-96y_J-qme00/VQyMW7GQPXI/AAAAAAAHLw8/ggqRGGDxa8E/s1600/unnamed%2B(70).jpg)