USIKU WA MWANAMKE DUNIANI LEO NDANI YA SAFARI CARNIVAL MIKOCHENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-QBcqqjl68UQ/VPpGuCu9oBI/AAAAAAAHIds/5vXoe6cW6NM/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Gusa Gusa Band, Sabaha Muchacho, Afua Suleiman na Shakila kutoa burudaniNa Mwandishi WetuAsia Idarous Khamsin (Fabak Fashions) inakuletea Usiku wa Mwanamke Duniani (Woman Celebration), utakaofanyika Jumapili ya Machi 8 ndani ya ukumbi wa Safari Carnival uliopo Mikocheni B, Jijini Dar es Salaam.Mtendaji Mkuu wa Fabak Fashins, Asia Idarous Khamsin aliwaomba Wanawake kujitokeza kwa wingi usiku huo maalum kwani ni usiku wao na utakuwa na mambo mbalimbali ikiwemo burudani ya taarab kutoka kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Usiku wa mwanamke duniani Machi 8, ndani ya Safari Carnival Mikocheni
*Gusa Gusa Band, Sabaha Muchacho, Afua Suleiman na Shakila kutoa burudani
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Asia Idarous Khamsin (Fabak Fashions) inakuletea Usiku wa Mwanamke Duniani (Woman Celebration), utakaofanyika Jumapili ya Machi 8 ndani ya ukumbi wa Safari Carnival uliopo Mikocheni B, Jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin aliwaomba Wanawake kujitokeza kwa wingi usiku huo maalum kwani ni usiku wao na utakuwa na mambo mbalimbali ikiwemo burudani...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fU5VCgLXT_w/VPmMgFJ3r8I/AAAAAAADbkE/dLx3ynBbfBw/s72-c/64253_926582500709347_2528256184450671404_n%2B(1).jpg)
USIKU WA MWANAMKE DUNIANI MACHI 8 NDANI YA SAFARI CARNIVAL MIKOCHENI B
![](http://3.bp.blogspot.com/-fU5VCgLXT_w/VPmMgFJ3r8I/AAAAAAADbkE/dLx3ynBbfBw/s1600/64253_926582500709347_2528256184450671404_n%2B(1).jpg)
Na Mwandishi Wetu
Asia Idarous Khamsin (Fabak Fashions) inakuletea Usiku wa Mwanamke Duniani (Woman Celebration), utakaofanyika Jumapili ya Machi 8 ndani ya ukumbi wa Safari Carnival uliopo Mikocheni B, Jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Fabak Fashins, Asia Idarous Khamsin aliwaomba Wanawake kujitokeza kwa wingi usiku huo maalum kwani ni usiku wao na utakuwa na mambo mbalimbali ikiwemo burudani ya taarab kutoka kwa...
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili ya leo
.. Njoo tufurahie pamoja kusherekea siku ya Mama Duniani (Mother’s Day)
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Bendi ya taarab ya ‘Gusa Gusa Min Band,’ itatoa burudani ya aina yake Jumapili ya Machi 15 katika usiku wa Old is Gold Taarab pamoja na kusherehekea siku ya Mama Duniani (Mother’s Day) ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alibainisha kuwa, bendi hiyo ya...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Usiku wa Old is Gold Taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival
Na Andrew Chale
USIKU wa Old is Gold taarab unatarajiwa kurindima ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, kwa wadau kupata burudani ya muziki wa mwambao wa kizamani.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza kuwa ni kila Jumapili ndani ya ukumbi huo utakuwa na burudani ya kipekee kwa nyimbo za mwambao pamoja na ‘surprise’ mbalimbali kwa watakaofika hapo.
“Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Usiku wa Old is Gold taarab kila Jumapili ndani ya Safari Carnival, Kawe.Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-fW_67Te18SA/VKl2L8HO87I/AAAAAAAG7P0/YfienVX4fOI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival kila Jumapili
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKIMG1dQO9A/VKzkxPaS5_I/AAAAAAAG7xA/8b5p0_DmwCc/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Na Andrew ChaleBendi ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima kila Jumapili katika usiku wa Old is Gold Taarab ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa itakuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa."Kila jumapili kwa kiingilio cha sh 5,000 tu. Wapenzi wa muziki wa mwambao ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s72-c/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-AOmNgHZMd-8/VLpVkupRWxI/AAAAAAADVoY/zDxk6FM_sGw/s1600/Gusa%2Bgusa%2Bpc.jpg)
BENDI ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima tena Jumapili hii katika usiku wa Old is Gold Taarab , ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa imekuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa huku ikikusanya mashabiki lukuki.
Aidha, alisema muimbaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jCmE7Ld3CWI/VHjsdzfFwTI/AAAAAAAG0EA/tBaJpH53w5Y/s72-c/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
ASIA IDAROUS KHAMSIN ANAKULETEA RED CARPET NA USIKU WA KHANGA PARTY LEO SAFARI CARNIVAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-jCmE7Ld3CWI/VHjsdzfFwTI/AAAAAAAG0EA/tBaJpH53w5Y/s1600/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
Na Andrew Chale
USIKU maalum wa kuenzi vazi la Khanga na magwiji wa taarab nchini 'Usiku wa Khanga Party na Spice Modern Taarab' unapotarajia kulindima usiku wa leo Novemba 29 ndani ya Ukumbi wa Safari Carnival, Mikocheni B, karibu na daraja la Kawe, na kusindikizwa na gwiji wa mipasho Khadija Kopa pamoja na Bilal Mashauzi. Kwa mujibu wa Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous Khamsin amebainisha kuwa kwa ushirikiano wa Fabak Fashions na Safari Carnival wameandaa usiku huo maalum kuenzi vazi la...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s72-c/unnamed+(19).jpg)
OLD IS GOLD NA SPICE MODERN TAARAB KUFUNIKA NDANI YA SAFARI CARNIVAL LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-n2f5yZnGBds/U94IHe9aWlI/AAAAAAAF8ls/cg_kfVdKQTw/s1600/unnamed+(19).jpg)
Kwa kiingilio cha sh 5000 tu, kuanzia saa mbili usiku mpaka majogoo.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, ambao ni miongoni mwa wadhamini wa onyesho hilo, amewasihi wadau kujitokeza kwa wingi kuuenzi usiku huo kwa...