SHIMUTA, NSSF WAMJAZA MANOTI MJANE WA GURUMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jWhnAjimDhw/VKK5L9YUPLI/AAAAAAAG6mc/dxWuAztwl6g/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Hatimaye mjane wa marehemu Muhidini Gurumo, Pili Kitwana amepokea Sh2 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF kwa ajili ya ununuzi wa Bajaji.
NSSF ilitoa fedha hizo ikiwa ni juhudi za Shirikisho la Muziki nchini (SHIMUTA), ambapo walimuahidi kumpatia mjane huyo kiasi cha fedha ambacho kitamuwezesha kununua bajaji imsaidie kuendesha maisha yake.
"Mwaka huu mwezi wa tano tulimuahidia mama Gurumo tutamsaidia kusaka fedha kwa wadau mbali mbali tuweze kufanikisha azma yetu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci35vUM-NL25N8HW7-hSbe1e1Y42ZtLVYrhDnjNhdhsgWtiOysP1UUr0h1KW4-V8CFWr-0A25l5NbJMC4Ywz8Akx/Pili.jpg?width=650)
MJANE WA GURUMO AWASHUKURU NSSF
10 years ago
GPLNSSF YATOA MILIONI MBILI KWA MJANE WA GURUMO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjYXOIcQNIHdxED-VNdfmh*FlicaVBokQXES67MbQFYBTJNzLamjQv9*Dx5T7IFGOtwMUvE6Hn39LDg0*POaLt*0/IMG20141230WA00291.jpg)
NSSF YAMKABIDHI MJANE WA MAALIM GURUMO HUNDI YAB YA MILIONI MBILI
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Simba wajazwa ‘manoti’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7YFB20iO-C5B4G1S2CIfGMY4q0EYNDuDRsmlu7YM6vLgIE-1F-f-ga3xnSOIfqPw9S1BaSuf*XDMnJc89NzkIO/ulimwengu12.jpg?width=650)
Thomas Ulimwengu noma, amwaga manoti ukumbini
9 years ago
Habarileo23 Sep
Simba, Yanga waikimbiza Shimuta
MCHEZO wa watani wa jadi Simba na Yanga umesogeza mbele Bonaza la SHIMUTA hadi Oktoba 10 mwaka huu, imeelezwa.
9 years ago
AllAfrica.Com06 Jan
Tanzania: Shimuta Set Date for General Election
AllAfrica.com
THE Inter-parastatal and Non-parastatal Sports Federation of Tanzania, SHIMUTA general election will be held on March 19th, this year, in a region to be announced later. SHIMUTA Secretary General, Awadh Safari, said the election will be held after the ...
9 years ago
StarTV24 Nov
Waajiri wakumbushwa kutoa ruhusa kwa Michezo Ya Shimuta. Â
Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Arusha huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo.
Washiriki hao wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.
Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF
![Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0021.jpg)
Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.
![Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0043.jpg)
Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...