Waajiri wakumbushwa kutoa ruhusa kwa Michezo Ya Shimuta. Â
Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Arusha huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo.
Washiriki hao wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.
Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAAJIRI SERIKALINI WATAKIWA KUTHAMINI MICHEZO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s72-c/IMG_3966.jpg)
FUN CITY YAJIPANGA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE KWA WATANZANIA PASAKA: YAFUNGA MITAMBO YA KISASA KWA AJILI YA MICHEZO YA KWENYE MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s1600/IMG_3966.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rZ38zrB2J1s/U0_pzfy4BTI/AAAAAAAA5Bw/QpYsnXaALUc/s1600/IMG_3944.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vwf97KRUPFs/U1ADAcfCqpI/AAAAAAAA5DI/dAV2dcz7xp4/s1600/IMG_3849.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
10 years ago
MichuziBODI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YAKABIDHI LESENI KWA KAMPUNI YA MURHANDZIWA KUENDESHA MICHEZO HIYO
11 years ago
GPLWAZIRI WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
HELSB yatangaza kiama kwa waajiri
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imewatangazia kiama waajiri watakaoshindwa kuwasilisha taarifa za watumishi waliokopa katika bodi hiyo.
Imesema haitakuwa na huruma na waajiri hao na kwamba itawafikisha mahakamani.
Mkurugenzi Msaidizi Urejeshaji Mikopo wa HELSB, Robert Kibona, alisema hayo jana mjini Dodoma katika kutano mkuu wa mwaka wa wakurugenzi wa Utawala na Raslimali watu serikalini.
Alisema tayari waajiri watano wamechukuliwa hatua kutokana na kushindwa...
9 years ago
Habarileo23 Sep
Simba, Yanga waikimbiza Shimuta
MCHEZO wa watani wa jadi Simba na Yanga umesogeza mbele Bonaza la SHIMUTA hadi Oktoba 10 mwaka huu, imeelezwa.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Sheria,sera ya kazi tatizo kwa waajiri
9 years ago
MichuziNSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka waajiri wa sekta mbalimbali nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...