WAAJIRI SERIKALINI WATAKIWA KUTHAMINI MICHEZO
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O. Kombani (Mb) akifungua mashindano ya michezo ya SHIMIWI mjini Dodoma leo. Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Bw.Noeli Kazimoto akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo ya SHIMIWI mjini Dodoma leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-1P5tIQ2IORE/VQGuqOTx7cI/AAAAAAAAB90/QTPQNcOPmaQ/s72-c/HAWA%2BGHASIA.jpg)
Wazazi Mtwara watakiwa kuthamini elimu
Na Clarence Chilumba, Mtwara
SERIKALI imewataka wazazi na walezi mkoani Mtwara, kuwapeleka shule watoto wao waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia, wakati akizungumza na Uhuru mjini hapa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1P5tIQ2IORE/VQGuqOTx7cI/AAAAAAAAB90/QTPQNcOPmaQ/s1600/HAWA%2BGHASIA.jpg)
Alisema elimu ndiyo itakayowasaidia vijana wa Mtwara kunufaika na uchumi wa gesi, ambao unapatikana katika mkoa huo.
Alisema kama watoto wa mikoa ya kusini hawatapata elimu, wataishia kufanyakazi za chini,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R5kWAeNMFfU/Ux4A--JfeiI/AAAAAAAFSy8/6oYjoP8mWhQ/s72-c/mc1.jpg)
Serikali yawaasa watanzania kuthamini na kutunza viwanja vya michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-R5kWAeNMFfU/Ux4A--JfeiI/AAAAAAAFSy8/6oYjoP8mWhQ/s1600/mc1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5TedMsx01Hs/Ux4A_rJE6cI/AAAAAAAFSzI/M5EnrKL9Fsw/s1600/mc3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IJzxYuXJ1Y/Ux4A_bemEzI/AAAAAAAFSzA/c2ob1aNezE0/s1600/mc4.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Mar
Waajiri watakiwa kufuata sheria
MWENYEKITI mpya wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) amewataka waajiri na wafanyakazi wote nchini kufuata Sheria na Taratibu za Kazi, kwani uvunjwaji wake ndio chanzo kikubwa cha uwepo wa migogoro mingi inayowasilishwa kwenye tume hiyo.
9 years ago
StarTV13 Nov
Waajiri watakiwa kuwapa kipaumbele wasioona
Waajiri nchini wametakiwa kutambua kuwa watu wasioona wana mchango mkubwa kazini kwa vile wana uwezo mkubwa wakipewa fursa.
Mbali ya kuwa wachapakazi pia ni wabunifu hivyo waajiri hawana budi kuwapa kipaumbele.
Watu wasioona wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali kubwa ikiwa ni kuendesha maisha yao na fursa ya ajira.
Katika maadhimisho ya siku ya fimbo nyeupe Kitaifa Mkoani Tabora,Serikali inakiri kutambua changamoto walizonazo wasioona.
Maadhimisho hayo yaliyoshirikisha wasioona...
9 years ago
StarTV24 Nov
Waajiri wakumbushwa kutoa ruhusa kwa Michezo Ya Shimuta. Â
Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Arusha huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo.
Washiriki hao wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.
Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Viwanja vya michezo virudishwe serikalini
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WJXvpFDkBME/XkkH7tiRzWI/AAAAAAALdjo/9cgHzV_NXnsKdc7PEAj3CiIISHF-UsskACLcBGAsYHQ/s72-c/c186d94c-5695-4c0b-a8f2-22b7bec590db.jpg)
VIJANA WATAKIWA KUONDOKANA NA KUTEGEMEA AJIRA ZA SERIKALINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-WJXvpFDkBME/XkkH7tiRzWI/AAAAAAALdjo/9cgHzV_NXnsKdc7PEAj3CiIISHF-UsskACLcBGAsYHQ/s640/c186d94c-5695-4c0b-a8f2-22b7bec590db.jpg)
Kauli hiyo imetolewa na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, Ajira, Sera na watu wenye ulemavu Mhe, Anthony Mavunde katika Kongamano la Umoja wa vijana CCM mkoa wa Kagera chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Happiness Runyogote katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...