VIJANA WATAKIWA KUONDOKANA NA KUTEGEMEA AJIRA ZA SERIKALINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-WJXvpFDkBME/XkkH7tiRzWI/AAAAAAALdjo/9cgHzV_NXnsKdc7PEAj3CiIISHF-UsskACLcBGAsYHQ/s72-c/c186d94c-5695-4c0b-a8f2-22b7bec590db.jpg)
Vijana Mkoani Kagera wametakiwa kuondokana na kutegemea ajira toka serikalini badala yake wajijengee mazingira ya kuwezeshwa kwa kukaa katika makundi ili wanufaike na fursa mbali mbali zitolewazo na serikali.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, Ajira, Sera na watu wenye ulemavu Mhe, Anthony Mavunde katika Kongamano la Umoja wa vijana CCM mkoa wa Kagera chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Happiness Runyogote katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k4ExRAU62n8/VKy_RQnYhwI/AAAAAAACxMI/kRE0-N6myQQ/s72-c/innocent%2Bme.jpg)
VIJANA Kilimanjaro watakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro
![](http://3.bp.blogspot.com/-k4ExRAU62n8/VKy_RQnYhwI/AAAAAAACxMI/kRE0-N6myQQ/s1600/innocent%2Bme.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini na Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Moshi Vijijini, Innocent Melleck alipokuwa akizungumza na waandishi wahabari juu ya mkakati wa kupambana na wimbi la vijana walio mitaani kwa kukosa ajira katika mkoa wa Kilimanjaro . Melleck alisema anatarajia kuitisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe45Bx*uOV00GyuZ5JSVAzC6jyk8Rs8KKnhFklwiB73hsroxF927tTqePAAPcuMlQAECvbVsM7ipTsbErfU9ySdx/1.jpg?width=650)
VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Ajira za serikalini sasa kwa mtandao
11 years ago
Habarileo23 Jan
Watanzania wa nje kupewa ajira serikalini
WATANZANIA waishio ughaibuni wameanza kushirikishwa kwa kupewa ajira serikalini, ikiwa ni njia kuwapa nafasi ya kuchangia maendeleo ya nchi.
11 years ago
Habarileo26 Feb
Maombi ya ajira serikalini sasa kielektroniki
MAOMBI ya ajira serikalini na katika taasisi na mashirika ya umma, sasa yatafanyika kwa njia ya kielektroniki (e-recruitment), hali itakayosaidia kuondoa mlolongo mrefu uliokuwepo.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Kuna ajira ngapi za upendeleo serikalini?
WIZARA ya Mambo ya Ndani, imetangaza kufuta ajira 228 baada ya kuthibitika kuwa zilitolewa kinyume na taratibu kwa upendeleo. Hatua hii ya wizara inafuatia malalamiko kutoka katika jamii, kupitia vyombo vya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xF0gMwVcEJI/VG4lHq_wCfI/AAAAAAAATk8/VI4Bp7QA_Ok/s72-c/02.jpg)
KINANA ATAKA UTARATIBU WA AJIRA SERIKALINI UANGALIWE UPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xF0gMwVcEJI/VG4lHq_wCfI/AAAAAAAATk8/VI4Bp7QA_Ok/s1600/02.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Liwale mkoani Lindi ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kuna haja ya kubadilisha taratibu za ajira badala ya kuwa za kudumu ziwe za mikataba kwani itasaidia kufanya kazi kwa ufanisi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-vIg0556k23I/VG4hJ-qOK-I/AAAAAAAATkg/K2ZmV2oL6UQ/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lI4kFs-x02c/VG4fYeGu_NI/AAAAAAAATj4/cxvMZIWi5KA/s1600/05.jpg)
10 years ago
GPLWAAJIRI SERIKALINI WATAKIWA KUTHAMINI MICHEZO