Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Msongo wa mawazo, vifo kwa vijana chanzo ni kukosa ajira

Vijana wanatajwa kuwa ni chachu ya maendeleo na nguzo kubwa katika mapinduzi ya kiuchumi kwa taifa.

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI WANACHAMA WA SADC KUIMARISHA SERA NA KUJENGA MIKAKATI YA PAMOJA YA KUKUZA AJIRA KWA VIJANA

 Na; Mwandishi WetuNchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimejizatiti kuimarisha Sera na kujenga mipango ya pamoja itakayowezesha kukuza ajira kwa vijana katika Ukanda huo.
Akifungua Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa Jumuiya hiyo wanaosimamia Sekta ya Kazi na Ajira hii leo Machi 2, 2020 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Andrew Massawe alisema kuwa Mkutano huo umewakutanisha...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA YATOA NAFASI 44 ZA AJIRA

Taasisi ya Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) iliyo chini ya Wizara ya Nishati na Madini(MEM) imetoa nafasi arobaini na nne (44) za ajira kwa watanzania kupitia Ofisi ya Rais sekreterieti ya ajira utumishi wa umma.
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakala wa huduma za ajira Tanzania (TaESA) wamefanikiwa kutoa mafunzo kwa watafuta kazi 2146

1

Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.

2

Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter Ugata akitoa wito...

 

9 years ago

Dewji Blog

Fastjet yaongeza ajira kwa vijana Tanzania

ONE

Meneja Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati) katika picha ya pamoja na wahudumu 12 (wenye sare) wa ndege hiyo waliohitimu mafunzo yao na tayari kwa kuanza kazi. Wengine katika picha ni Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet (mwenye vazi jeupe)  na mwasibu mkuu wa fastjet, Evelyn Mtenga (Kushoto).

TWO

Meneja mkuu wa shirika la ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati), Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa tano wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) zanzibar

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) Ussi Said Suleiman akitoa maelezo mafupi ya Jumuiya hiyo na kumkaribisha mgeni rasmi Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali kuzungumza na wanajumuiya. Watendaji wa wakuu wa Jumuiya ya TUWEPO wakimskiliza kwa makini Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali (hayupo pichani) alipokuwa akiwahutubia. Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali akiwahutubia vijana wa Jumuiya ya TUWEPO katika...

 

10 years ago

Michuzi

Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira

Makamu Mkurugenzi Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati Bank M ikitangaza kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani ya hapa Tanzania (AMCHAM-TZ) katika kuwasaidia wanaosaka ajira katika kuzikabili changamoto za ajira kisasa zaidi. Wengine pichani toka kushoto ni Makamu wa Rais wa sasa wa AMCHAM-TZ,Bhakti Shah, Mkurugenzi Mkuu wa AMCHAM-TZ, Richard Miles, Bw. David Mbumila kutoka Restless Development na Peter...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU UENDESHAJI WA WAKALA BINAFSI WA HUDUMAZA AJIRA NCHINI

Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw Ridhiwan Wema pichani, akiongea na Wanahabari hawapo pichani katika ukumbi wa Habari –Maelezo kuhusiana na Suala la la Wakala wa Huduma za Ajira nchini. Kushoto pichani ni Kamishna wa Kazi Bw.Saul Kinemela na kulia pembeni ni Bw Ally Msaki Mkurugenzi wa Ajira wote kutoka Wizara ya Kazi na Ajira.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini

IMG_6502

Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.

Frank-Mvungi-Maelezo

Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.

Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji  wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.

Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani