WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Msongo wa mawazo, vifo kwa vijana chanzo ni kukosa ajira
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NCHI WANACHAMA WA SADC KUIMARISHA SERA NA KUJENGA MIKAKATI YA PAMOJA YA KUKUZA AJIRA KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akifungua Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa Jumuiya hiyo wanaosimamia Sekta ya Kazi na Ajira hii leo Machi 2, 2020 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Andrew Massawe alisema kuwa Mkutano huo umewakutanisha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q_VodpDDQ08/VD_bQL_OQKI/AAAAAAAGq9M/KEx211MEZ_s/s72-c/unnamed.jpg)
WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA YATOA NAFASI 44 ZA AJIRA
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wakala wa huduma za ajira Tanzania (TaESA) wamefanikiwa kutoa mafunzo kwa watafuta kazi 2146
Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.
Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter Ugata akitoa wito...
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Fastjet yaongeza ajira kwa vijana Tanzania
Meneja Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati) katika picha ya pamoja na wahudumu 12 (wenye sare) wa ndege hiyo waliohitimu mafunzo yao na tayari kwa kuanza kazi. Wengine katika picha ni Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet (mwenye vazi jeupe) na mwasibu mkuu wa fastjet, Evelyn Mtenga (Kushoto).
Meneja mkuu wa shirika la ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati), Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-agJTB9R5vc0/VWGPPEQVAhI/AAAAAAAHZfM/YSF8o0eXoiM/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Mkutano wa tano wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-agJTB9R5vc0/VWGPPEQVAhI/AAAAAAAHZfM/YSF8o0eXoiM/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Svt5-AZwKAE/VWGPPJRwYjI/AAAAAAAHZfQ/mMfWtEi-SbQ/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MZGFyGf20DU/VWGPPMixwjI/AAAAAAAHZfA/4KvzrIlze9w/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s72-c/Untitled.png)
Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s640/Untitled.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BiFmwY73h04/VA2Nv2qorFI/AAAAAAAGhvE/n9dyUi7_3ro/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU UENDESHAJI WA WAKALA BINAFSI WA HUDUMAZA AJIRA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-BiFmwY73h04/VA2Nv2qorFI/AAAAAAAGhvE/n9dyUi7_3ro/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...