Mkutano wa tano wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-agJTB9R5vc0/VWGPPEQVAhI/AAAAAAAHZfM/YSF8o0eXoiM/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) Ussi Said Suleiman akitoa maelezo mafupi ya Jumuiya hiyo na kumkaribisha mgeni rasmi Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali kuzungumza na wanajumuiya.
Watendaji wa wakuu wa Jumuiya ya TUWEPO wakimskiliza kwa makini Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali (hayupo pichani) alipokuwa akiwahutubia.
Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali akiwahutubia vijana wa Jumuiya ya TUWEPO katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U3n_7SvweP0/VUyHcl6l9WI/AAAAAAAHWQ0/NaB9mx2_xks/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
JUMUIYA YA VIJANA WASIO NA AJIRA YAZINDULIWA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-U3n_7SvweP0/VUyHcl6l9WI/AAAAAAAHWQ0/NaB9mx2_xks/s640/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4SEsbhTP_Ok/VUyHchFk2EI/AAAAAAAHWQ4/u_lNZPc7JYs/s640/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gcIxpZgs0IU/VUyHcm2UqYI/AAAAAAAHWQw/FzmG56kVVIM/s640/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni9lY88vvX0/VTOYvV075JI/AAAAAAAHR-E/WX2Q45iHWFc/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Waingereza wajitosa kusaidia vijana wasio na ajira
Serikali ya Uingereza imebuni mbinu ya kuwasaidia vijana wa Tanzania katika kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira kwa kuwapa maarifa na mikakati ya kujiajiri na kujinadi kwa waajiri .
Vikwazo vinavyowakabili vijana katika soko la ajira ni pamoja na kutokuwa na maarifa ya kupata kazi na tabia ambazo zitawawezesha kuwa karibu na wafanyakazi wenzao,kutoa maamuzi magumu , kutatua matatizo kuweka heshima na mwisho kuwa wawakilishi bora wa taasisi wanayotumikia .
Kwa kutambua...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Vc3uOqw7tV8/VWMtmrouXMI/AAAAAAADoo0/_6UYTcvgVy8/s72-c/1C.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA JUMUIYA YA MADOLA NA WAKUU WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vc3uOqw7tV8/VWMtmrouXMI/AAAAAAADoo0/_6UYTcvgVy8/s640/1C.jpg)
Makamau wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua Mkutano Mkuu wa tano wa Jumuiya ya Madola na Wakuu wa Taasisi za Kupambana na Rushwa Barani Afrika, uliofanyika leo Mei 25 kwenye Hoteli ya Bahari Beach, jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OzsICJBTjAI/VWMtln0hSsI/AAAAAAADoos/4-Wv_3YiUlo/s640/04.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SbcKYbdD7TA/VWMtnMcmUPI/AAAAAAADopE/xqaOZ4r35PA/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-W9RCD7nDxY4/VWM_yX_44dI/AAAAAAAHZuM/v7370usmvUw/s72-c/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA JUMUIYA YA MADOLA NA WAKUU WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-W9RCD7nDxY4/VWM_yX_44dI/AAAAAAAHZuM/v7370usmvUw/s640/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6iNerrvL8XM/VWM_yee_qGI/AAAAAAAHZuQ/mLmH226CuGg/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi03 Jan
JUMUIYA YA KUKUSANYA ZAKA NA SADAKA ZANZIBAR (JUZASA) YAFANYA MKUTANO MKUU WAKE.
![UD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/UD1.jpg)
![UD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/UD2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHRIH358txI/U2ULIVaSglI/AAAAAAAFfHc/JlxgsoRnUvo/s72-c/IMG_0068+hii.jpg)
Dkt. Shein azindua Kongamano la ajira kwa Vijana leo Bwawani Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHRIH358txI/U2ULIVaSglI/AAAAAAAFfHc/JlxgsoRnUvo/s1600/IMG_0068+hii.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jjed_4-VqIo/U2ULHdoC5xI/AAAAAAAFfHY/Oy5kpzmdhCE/s1600/IMG_0020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vW0nm_w9pTQ/U2ULIH0Wc-I/AAAAAAAFfHg/qhJW4zXF0LE/s1600/IMG_0050.jpg)
10 years ago
MichuziMKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAWEKEZAJI WA SEKTA YA UTALII ZANZIBAR (ZATI) WAFANYIKA MJINI UNGUJA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GJzaAd3-2yw/XvC7R8HQtQI/AAAAAAALu9M/tBl0W13rxgAwyECcazl6wX-P5dLXj9QXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B4.29.29%2BPM.jpeg)
HUSSEIN MAKUNGU 'BHAA' "NIKIPATA URAIS NITAKUZA UCHUMI WA ZANZIBAR NA AJIRA KWA VIJANA
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR
MWAKILISHI wa Jimbo la Mtoni na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano, kupitia nafasi tano za Uwakilishi, Mhe. Hussein Ibrahim Makungu maarufu "Bhaa' amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Bhaa amepongeza Demokrasia ndani ya CCM kwa wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo nyeti na endapo atapitishwa kugombea Urais ameahidi ataleta mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa Vijana huku kudumisha Muungano uliopo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10