JUMUIYA YA VIJANA WASIO NA AJIRA YAZINDULIWA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-U3n_7SvweP0/VUyHcl6l9WI/AAAAAAAHWQ0/NaB9mx2_xks/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Mratibu wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania Nd. Ussi Said Suleiman akitoa maelezo kwa Baadhi ya Vijana wasio na ajira waliohudhuria katika Mkutano wa kuitambulisha Jumuiya hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Water front Hall Rahaleo Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Vijana waliohudhuria katika Mkutano wa kuitambulisha Jumuiya mpya ya Vijana wasio na ajira Tanzania, wakimsikiliza Mratibu wa Jumuiya hiyo Nd. Ussi Said Suleiman (hayupo pichani).
Mmoja wa Vijana wasio na ajira Zaituni Haji Mdigo ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-agJTB9R5vc0/VWGPPEQVAhI/AAAAAAAHZfM/YSF8o0eXoiM/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Mkutano wa tano wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-agJTB9R5vc0/VWGPPEQVAhI/AAAAAAAHZfM/YSF8o0eXoiM/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Svt5-AZwKAE/VWGPPJRwYjI/AAAAAAAHZfQ/mMfWtEi-SbQ/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MZGFyGf20DU/VWGPPMixwjI/AAAAAAAHZfA/4KvzrIlze9w/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni9lY88vvX0/VTOYvV075JI/AAAAAAAHR-E/WX2Q45iHWFc/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Waingereza wajitosa kusaidia vijana wasio na ajira
Serikali ya Uingereza imebuni mbinu ya kuwasaidia vijana wa Tanzania katika kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira kwa kuwapa maarifa na mikakati ya kujiajiri na kujinadi kwa waajiri .
Vikwazo vinavyowakabili vijana katika soko la ajira ni pamoja na kutokuwa na maarifa ya kupata kazi na tabia ambazo zitawawezesha kuwa karibu na wafanyakazi wenzao,kutoa maamuzi magumu , kutatua matatizo kuweka heshima na mwisho kuwa wawakilishi bora wa taasisi wanayotumikia .
Kwa kutambua...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SblgtZdtBDM/UxM9ioPuldI/AAAAAAAFQh4/Nj3s0F2F31I/s72-c/unnamed+(88).jpg)
JUMUIYA YA MARADHI YASIOAMBUKIZA (ZNCDA) YAZINDULIWA RASMI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-SblgtZdtBDM/UxM9ioPuldI/AAAAAAAFQh4/Nj3s0F2F31I/s1600/unnamed+(88).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LR63lz1oMWo/UxM9isU3BBI/AAAAAAAFQh8/AN2U1rrtxEU/s1600/unnamed+(89).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z-oBiAaW27Y/UxM9iqbOb1I/AAAAAAAFQiE/EOH2KiNOjyM/s1600/unnamed+(90).jpg)
5 years ago
MichuziMITANDAO YA KIJAMII YAZIDI KUONGEZA WIGO WA AJIRA KWA VIJANA,'APP' YA BIDHAA YA KEKI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Melisa Lilian Ringo wakati akizindua App kwa ajili ya Keki iliyofanyika leo, jijini Dar es Salaam.
Ringo amesema kuwa watu wanaohitaji Keki watakwenda kwenye mtandao na kufungua 'Melisa Cake' na kuchagua aina mbalimbali za Keki.Amesema mteja akiingia katika App hiyo atachagua Keki aitakayo baada ya hapo ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHRIH358txI/U2ULIVaSglI/AAAAAAAFfHc/JlxgsoRnUvo/s72-c/IMG_0068+hii.jpg)
Dkt. Shein azindua Kongamano la ajira kwa Vijana leo Bwawani Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHRIH358txI/U2ULIVaSglI/AAAAAAAFfHc/JlxgsoRnUvo/s1600/IMG_0068+hii.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jjed_4-VqIo/U2ULHdoC5xI/AAAAAAAFfHY/Oy5kpzmdhCE/s1600/IMG_0020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vW0nm_w9pTQ/U2ULIH0Wc-I/AAAAAAAFfHg/qhJW4zXF0LE/s1600/IMG_0050.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GJzaAd3-2yw/XvC7R8HQtQI/AAAAAAALu9M/tBl0W13rxgAwyECcazl6wX-P5dLXj9QXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B4.29.29%2BPM.jpeg)
HUSSEIN MAKUNGU 'BHAA' "NIKIPATA URAIS NITAKUZA UCHUMI WA ZANZIBAR NA AJIRA KWA VIJANA
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR
MWAKILISHI wa Jimbo la Mtoni na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano, kupitia nafasi tano za Uwakilishi, Mhe. Hussein Ibrahim Makungu maarufu "Bhaa' amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Bhaa amepongeza Demokrasia ndani ya CCM kwa wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo nyeti na endapo atapitishwa kugombea Urais ameahidi ataleta mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa Vijana huku kudumisha Muungano uliopo...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Wasio na ajira rasmi kunufaika uchangiaji wa hiari PSPF
MABADILIKO katika sekta ya hifadhi ya jamii yameleta neema baada ya kuwepo na mabadiliko ya sheria ya mfuko. Sheria ya mfuko inaruhusu kusajili wanachama katika sekta zote za umma na...
10 years ago
Habarileo05 Sep
'Wasio na ajira ni udongo ‘hatari’ wenye rutuba'
RAIS Jakaya Kikwete, amefananisha vijana wasio na ajira na udongo wenye rutuba, ambao unaweza kupandwa mbegu mbaya ya kuondoa uzalendo na wanasiasa na viongozi wa dini wenye msimamo mkali.