'Wasio na ajira ni udongo ‘hatari’ wenye rutuba'
RAIS Jakaya Kikwete, amefananisha vijana wasio na ajira na udongo wenye rutuba, ambao unaweza kupandwa mbegu mbaya ya kuondoa uzalendo na wanasiasa na viongozi wa dini wenye msimamo mkali.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania